Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 27 August 2012

CHIWAWA WA KENYA AZINDUA MAJI YAKE



Rapper wa Kenya aliyewahi kutamba na ngoma kali iitwayo ‘Mnafeel aje’, Chiwawa amezindua maji yake ya kunywa.

Maji hayo yanaitwa Minerva jina la kigiriki la mungu wa busara aliyekuwa akihusishwa na maji katika sehemu ya story zake.

Kwa upande wa Tanzania, Lady Jaydee aliwahi kujaribu kuanzisha maji yake lakini hata hivyo hayakuendelea kutolewa kutokana na sababu ambazo hazikuwekwa wazi.

No comments:

Post a Comment