Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 10 June 2013

CHRIS BROWN MAHAKAMANI LEO

The bad boy Chris Brown anatarajiwa kukutana uso kwa uso na pilato leo hii mezani kukiwa na mashtaka yanayomkabili kwamba hakukamilisha muda rasmi aliotakiwa kuitumikia jamii (community service), ikiwa kama adhabu baada ya kukutwa na hatia ya kumchapa makonde aliyekuwa girlfriend wake, Rihanna, mwaka 2009. Chriss Brown alitakiwa aitumikie jamii kwa siku 180 na April mwaka huu alikuwa mahakama lakini pilato aliihairisha kesi hiyo baada ya kukosa baadhi ya taarifa muhimu.


Chris Brown yupo mbioni kutoa albam yake ya 6 iitwayo "X", tarehe 16, July akiwashirikisha Kendrick Lamar, Nicki Minaj, Wiz Khalifa na Jennifer Lopez na tayari ameshatanguliza ngoma ya 'Fine China" ambayo ipo namba 31 katika Billboard Hot 100 chart. 


No comments:

Post a Comment