Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday 10 June 2013

RIHANNA AVUNJA REKODI UFARANSA

Haijawahi kutokea! Katika umri wa miaka 25 tu, Rihanna ameweza kuweka historia kwa kuujaza uwanja wa kandanda wa Stade De France alipogonga show yake ya wazi Week-end hii. Ni Lady Gaga pekee ndio aliyekuwa ameishikilia rekodi hiyo kwa kuutitirisha uwanja huo akiwa na umri mdogo, miaka 26 lakini Rihanna amemfunika vibaya Lady Gaga huku Rihanna akiwa ana miaka 25 tu.


Mmoja kati ya fans wake ali-tweet hivi baada ya show hiyo:
"Rihanna is also the youngest person to ever headline Stade De France"




No comments:

Post a Comment