Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 30 August 2012

MSINIITE MZEE MAGARI.


Nyota kwenye tasnia ya filamu nchini Charles Magari amekataa kuitwa mzee while age yake imeshasogea.
Hali hiyo ilitokea hivi karibuni baada ya wasanii chipukizi kumpa jina la 'mzee' kutokana na ushauri wake anaowapa wasanii hao kwenye tasnia hiyo.

"Mimi sitaki kabisa kusikia mtu ananiita mzee wakati ni kijana, nashangaa kila nikipita mitaani naitwa mzee waambieni na wengine silitaki jina hilo”, Mzee Kijana Magari.

Pia mzee Magari alisema kuwa yupo mbioni kuzindua filamu yake inayoitwa "Zig Zag" iliyoandaliwa na Pilipili Entertainment, mbapo ndani yake kutakuwepo na vichwa kama Haji Adam na Mohamed Fungafunga.

No comments:

Post a Comment