Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 30 August 2012

MAANDALIZI YA SEND OFF YA AUNTY EZEKIEL UTATA MTUPU




Zimepita week kadhaa toka kikao cha Aunty Ezekiel kifanyike nyumbani  kwake pamoja na Wajumbe wenzake wa tasnia ya filamu hapa nchini inayofahamika kama Bongowood.
 Kikao hiki cha Aunty Ezekiel kimezua utata baada ya kila mjumbe kutoa ahadi katika kikao cha kwanza na kutokufika katika kikao cha pili hii iliwashangaza watu wengi sana hasa ndugu na marafiki mbalimbali waliofika katika kikao hicho.
Asilimia nyingi ambao waliotoa ahadi ni wasanii wenzake na inasemekana kwamba muhusika wa maandalizi haya ya send off  yuko ziarani. Je huu si utata?.

No comments:

Post a Comment