Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 26 September 2012

WASHINDI WA BIBI BOMBA WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO LEO JIJINI DAR

Bibi Anna Saidi mshindi wa pili wa shindano la Bibi Bomba akipokea zawadi yake
Wasiwasi Mwabulambo (kulia), Babuu wa Kitaa toka Clouds TV  na Josephine Kulwa toka NMB


Bibi Veronica Mpandala aka Tukinao ambaye aliibuka mshindi wa shindano la Bibi Bomba (kushoto), Anna Said-mshindi wa pili (katikati) na Nasra Mohamed Abdul

Bibi Nasra Abdul akipokea zawadi yake toka kwa wadhamini wa shindano hilo

Bibi Tukinao akipokea zawadi yake toka kwa meneja wa NMB aitwaye Josephine Kulwa

No comments:

Post a Comment