Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 20 September 2012

GOLDIE KUTUA BONGO SIKU SI NYINGI

Goldie akiwa na Kyle nchini Uganda

Baada ya Goldie kumtembelea Prezoo then kwenda Uganda kumchek mshiriki wa BBA ya mwaka huu toka nchini humo kwa jina la Kyle latest infoz ni kwamba mnigeria huyu soon ataikanyaga ardhi ya Tezee akiwa na Prezzo kwa ajili ya kufanya kazi za kimuziki na baadhi ya wasanii wa hapa nyumbani...

No comments:

Post a Comment