Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday, 10 April 2013

5 RICHEST HIP-HOP ARTISTES MWAKA 2013.

Jana Gazeti la Forbes la USA limetoa list ya wanamuziki matajiri zaidi duniani katika mziki wa Hip-Hop kwa mwaka 2013 na majina kama Jay-Z, 50 Cent, Diddy na wengine wali-top the list.




1. Sean”Diddy“Combs
Utajiri: $580 million.

 
2. Sean”Jay-Z“Carter
Utajiri: $475 million.


3. Andre”Dr.Dre“Young
Utajiri: $270 million.

4. Bryan”Birdman“Williams
Utajiri: $270 million.


5. Curtis”50 Cent“Jackson
Utajiri: $125 million.





RICK ROSS AOMBA RADHI KWA KUBAKA!

Maybach Music boss Rick Ross ameomba radhi jamii na fans wake kwa ujumla kutokana na mistari yake kutafsirika kama vile mtu anayebaka msichana. Rossay aliomba radhi kupitia akaunti yake ya twitter.
 
 ‘I don’t condone rapè. Apologies for the #lyric interpreted as rapè. #BOSS’.
 
Hii imekuja baada ya wanaharakati wanawake waliowahi-kubakwa wakiwa na mabango yao kwenda mpaka kwenye ofisi za Reebok huko New York ambao ndio wadhamini wa The Boss. Mistari yenye utata katika ngoma yake U.O.E.N.O inasomeka, ‘Put molly all in her champagne, she ain’t even know it/I took her home and I enjoyed that, she ain’t even know it’. Akimaanisha anawekewa molly (kilevi) kwenye shampeni ya demu bila yeye kujua. Anampeleka nyumbani kwake na kum-do bila yeye (demu) kujua.
 
Kweli raia wa USA wako makini!

USHAHIDI WA MIMBA YA KIM KARDASHIAN

Uvumi mwingi ulienea kuwa Kim Kardashian alikuwa na-fake ujauzito alioupata na boyfriend wake Kanye West. Sasa Kim ametoa picha zinazoonyesha tumbo lake kuwa lina kiumbe ndani yake na sio magumashi kama wadakuzi wengi wanavyodhani.


Tuesday, 9 April 2013

AVRIL KUUZA MADAWA YA KULEVYA!

Singer now turning to be an actress Avril amekula mchongo wa ku-act katika tamthiliya ya 'Noose of Gold’ inayorushwa na kituo cha M-NET. Avril ataigiza katika season ya 5 ya tamthiliya hiyo na nafasi yake ni ‘Muuza madawa ya kulevya’.

Avril alipoulizwa kama nafasi hiyo inaakisi maisha yake ya kawaida ya kila siku, alikana kwa kusema, “Sijawahi kuhusika iwe kwa kutumia au kuuza madawa ya kulevya. Sasa hivi ndio najifunza mambo haya”.

Pengine nafasi hii imekuja baada ya kuonekana amefanya vizuri sana kiuigizaji katika video ya 'Kesho' ya Diamond.
 

 
 


RAISI WA URUSI AONYESHWA MATITI ZIARANI HADHARAN!


Raisi wa Urusi Vladimir Putin na Chancellor wa Ujerumani, Bi. Angela Merkel walikutana na kimbwanga cha mwaka baada ya kuvamiwa na mwanamke mwanaharakati aliyeku wazi kabisa kifuani na kuwaonyesha matiti yake viongozi hao walipokuwa katika ziara ya viwanda huko Hanover, Ujerumani jana Jumatatu.



Hata hivyo Bi. Angela Merkel hakufurahishwa na ulinzi mbovu hivyo kumruhusu mwanamke huyo kujipenyeza mpaka kuwafikia viongozi hao!


Cheki reaction ya bwana raisi baada ya kuonyeshwa matiti.