Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 9 April 2013

RAISI WA URUSI AONYESHWA MATITI ZIARANI HADHARAN!


Raisi wa Urusi Vladimir Putin na Chancellor wa Ujerumani, Bi. Angela Merkel walikutana na kimbwanga cha mwaka baada ya kuvamiwa na mwanamke mwanaharakati aliyeku wazi kabisa kifuani na kuwaonyesha matiti yake viongozi hao walipokuwa katika ziara ya viwanda huko Hanover, Ujerumani jana Jumatatu.



Hata hivyo Bi. Angela Merkel hakufurahishwa na ulinzi mbovu hivyo kumruhusu mwanamke huyo kujipenyeza mpaka kuwafikia viongozi hao!


Cheki reaction ya bwana raisi baada ya kuonyeshwa matiti.

No comments:

Post a Comment