Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 9 April 2013

KANYE WEST AIBA NGOMA!


Roc-A-Fella Records & Good Music Rapper Kanye West, 35, ameingia matatani kwa kuiba baadhi ya mistari na kuitumia katika ngoma yake ‘Gold Digger’. Jana Jumatatu Trena Steward na Lorenzo Pryor, watoto wa David Pryor, ndio waliofungua kesi hii kwa niaba ya baba yao aliyeimba wimbo huo 'Bumpin Bus Stop' kwa kushirikiana na bendi yake, Thunder & Lightening mwaka 1974.
 
Ni sekunde 13 tu za wimbo wa David Pryor  ndio West alikopi mistari pia tune ambayo ni 'Get down' three times’ huku West alisema, 'Get down, girl, go head get down' three times’. Trena Steward na Lorenzo Pryor, watoto wa David Pryor kila mmoja anamiliki robo ya tune katika wimbo huu na wanahitaji fidia ya $ 150,000 pamoja gharama za wakili.

Hii sio mara ya kwanza kwa West kupelekwa mahakamani kwani  mwaka September, 2012, New York record label, TufAmerica ilimfungulia mashtaka West kwa kuchukua mistari ya ngoma ya Eddie Bo,  'My Beautiful Dark Twisted Fantasy' na kutoa ‘Stronger’.







No comments:

Post a Comment