Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 9 April 2013

AVRIL KUUZA MADAWA YA KULEVYA!

Singer now turning to be an actress Avril amekula mchongo wa ku-act katika tamthiliya ya 'Noose of Gold’ inayorushwa na kituo cha M-NET. Avril ataigiza katika season ya 5 ya tamthiliya hiyo na nafasi yake ni ‘Muuza madawa ya kulevya’.

Avril alipoulizwa kama nafasi hiyo inaakisi maisha yake ya kawaida ya kila siku, alikana kwa kusema, “Sijawahi kuhusika iwe kwa kutumia au kuuza madawa ya kulevya. Sasa hivi ndio najifunza mambo haya”.

Pengine nafasi hii imekuja baada ya kuonekana amefanya vizuri sana kiuigizaji katika video ya 'Kesho' ya Diamond.
 

 
 


No comments:

Post a Comment