Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 10 April 2013

5 RICHEST HIP-HOP ARTISTES MWAKA 2013.

Jana Gazeti la Forbes la USA limetoa list ya wanamuziki matajiri zaidi duniani katika mziki wa Hip-Hop kwa mwaka 2013 na majina kama Jay-Z, 50 Cent, Diddy na wengine wali-top the list.




1. Sean”Diddy“Combs
Utajiri: $580 million.

 
2. Sean”Jay-Z“Carter
Utajiri: $475 million.


3. Andre”Dr.Dre“Young
Utajiri: $270 million.

4. Bryan”Birdman“Williams
Utajiri: $270 million.


5. Curtis”50 Cent“Jackson
Utajiri: $125 million.





No comments:

Post a Comment