Itabidi abadilishe ratiba yake upya kwa masaa 1,000 toka sasa baada ya mahakama ya huko Los Angeles kumhukumu Chris Brown kwa kufanya kazi za jamii. Hukumu hii inakuja baada ya Chris Brown kuonekana aliwasilisha ripoti ya uongo inayoonyehsa kuwa alitumikia kiukamilifu adhabu ya aliyopewa awali ya kuitimikia jamii kwa siku 180.
Kosa hili la kuwakilisha ripoti feki inatokana na adhabu aliyopewa baada ya kukutwa hatia ya kumpiga aliyekuwa mpenzi wake, Rihanna.
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Saturday, 17 August 2013
DORICE MOLLEL NDIYE RED'S MISS ILALA 2013
Thursday, 15 August 2013
REDD'S MISS ILALA NI IJUMAA HII
Shindano la kumsaka mlimbwende wa Ilala litafanyika siku ya ijumaa tarehe 16/08/03 kuanzia saa 2 za usiku katika ukumbi Mpya na wa kisasa katika jengo la GOLDEN TOWER
Katika kuelekea kilele cha shindano hilo jana usiku kulifanyika shindano la vipaji katika ukumbi wa city sport longe ambapo wasichana watano kati ya 10 walioshiriki shindano hilo walifanikiwa kutinga fainali ambapo fainali hzo zitaendana na sambamba na kumpata Redd;s Miss Ilala 2013.
Cheki picha mbali mbali za tukio hilo.
Katika kuelekea kilele cha shindano hilo jana usiku kulifanyika shindano la vipaji katika ukumbi wa city sport longe ambapo wasichana watano kati ya 10 walioshiriki shindano hilo walifanikiwa kutinga fainali ambapo fainali hzo zitaendana na sambamba na kumpata Redd;s Miss Ilala 2013.
Cheki picha mbali mbali za tukio hilo.
JAY Z NA DIDDY WAMCHEKA KENDRICK LAMAR
Fasta baada ya kujitangazia Ufalme wa jiji la New York, The hot Hip Hop star Kendrick Lamar amepata majibu. Majibu yanatoka kwa legends ya game ya Hip Hop duniani, Jay Z na Sean Comb 'Diddy' kwa kusema kuwa dogo huyu ana utani sana! Kwa upande mwingine Jay na Diddy wameichukulia kauli hii kama kutafuta kiki tu ya kimuziki!
Subscribe to:
Posts (Atom)










