Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 17 August 2013

CHRIS BROWN ATUPWA JELA

Itabidi abadilishe ratiba yake upya kwa masaa 1,000 toka sasa baada ya mahakama ya huko Los Angeles kumhukumu Chris Brown kwa kufanya kazi za jamii. Hukumu hii inakuja baada ya Chris Brown kuonekana aliwasilisha ripoti ya uongo inayoonyehsa kuwa alitumikia kiukamilifu adhabu ya aliyopewa awali ya kuitimikia jamii kwa siku 180.

Kosa hili la kuwakilisha ripoti feki inatokana na adhabu aliyopewa baada ya kukutwa hatia ya kumpiga aliyekuwa mpenzi wake, Rihanna.


No comments:

Post a Comment