Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 17 August 2013

DORICE MOLLEL NDIYE RED'S MISS ILALA 2013

Kanda ya Ilala usiku wa kuamkia leo ilimtoa mlibwende atakaeiwakilisha kanda hiyo katika Miss Tanzania mwaka huu. Aliyekuwa Miss Ilala Dorice Mollel jana alivikwa taji la Red's Miss Ilala 2013, na kujichukulia kitita cha 1.5 milioni. Nafasi ya pili ilichukuliwa na Alice Isaac (1 milioni) na wa tatu ni Clara Bayo (laki 7). 


No comments:

Post a Comment