President Barack Hussein Obama yupo
katika mchakato wa kutengeneza sheria ya kidhibiti umiliki wa silaha. Papper
T.I ana yake aliyoyasema katika interview na Larry King. ‘Larry King Now’. Check video ya interview hiyo!
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Tuesday, 29 January 2013
CHRIS BROWN AZICHAPA STUDIO
Jana Jumatatu Rihanna’s boyfriend Chris Brown alizichapa kavukavu dhidi ya Christopher Francis Ocean better known on stage as Frank Ocean. Brown alikuwa studio akimsikiliza mmoja wa wasanii wake na alipotaka kusepa ndipo alipokutana na Ocean akiwa na kundi lake. Ocean na wanae walikuwa wanamzuia Brown asiondoke huku Ocean akimwambia Brown kuwa hii ni studio yangu na umepaki gari lako katika sehemu yangu.
![]() |
| Brown Vs Ocean |
![]() |
| Frank Ocean's twitter account |
Frank
Ocean ni singer pia mwandishi na ameshawaandikia mastaa kama Brandy, Justin
Bieber, and John Legend.
50 CENT: RICK ROSS AME-FAKE AJALI YAKE
Hatimaye rapper 50 Cent ameibuka na
kumkashifu Rick Ross kuwa amefeki ajali aliyopata jana asubuhi wakati akitokea
kwenye birthday party yake ambapo akiwa njiani alirushiwa risasi hivyo gari
lake, Royce Rolls, kuhama njia na kugonga nyumba. Cent aliandika katika akaunti
yake ya twitter, “Hahahaaaaaa Bonge amegonga nyumba? Inaonekana ni ishu ya
kufoji.................................”
'Hahaha fat
boy hit the building? Lol it looks staged to me, I ride like OBAMA level 6 bulet proof bomb
proof, you already know. [sic]'
Ingawa 50 ameonyesha ku-dought tukio hilo lakini picha zinaonyesha wazi matobo ya
risasi katika matairi, bampa na taa za gari la Ross. Ross na 50 wana bifu la
muda mrefu toka 2009 Ross alipomchana Cent katika ngoma yake Mafia Music.
![]() |
| Gari ya Ross |
Katika ajali hiyo hakuna
aliyejeruhiwa katika gari alilokuwemo Ross, girlfriend wake Shateria
L. Moragne na dereva wao. Japokuwa 50 ameonyesha mashaka
lakini polisi wameichukulia ishu serious na bado wanaifanyia uchunguzi kwa sasa.
![]() |
| Ross |
![]() |
| Ross, P Diddy, Fabolous Quincy Combs na Christina Milian |
RICK ROSS ANUSURIKA KIFO
Alfajiri ya jana Jumatatu, The
Miami based rapper William Roberts a.k,a Rick Ross
alinusurika kuuawa baada ya gari lake kumiminiwa risasi na watu wasiojulikana.
Ross alikuwa akitoka kwenye birthday party yake ya 37. Party hiyo ilihusisha
list ndefu ya mastaa wakiwemo P Diddy, Fabolous Quincy Combs na Christina
Milian just to mention a few.
![]() |
![]() |
| Ross |
![]() |
| Ross na Diddy |
![]() |
| Ross, P Diddy, Fabolous Quincy Combs na Christina Milian |
Rick Ross akiwa njiani huko Las
Olas Boulevard baada ya kula bata usiku mzima, alianza kutupiwa risasi yeye
akiwa ndani ya gari lake aina ya Rolls Royce ya silver isiyoingiza risasi! Katika
sekeseke hilo dereva wa Ross alijikuta aligonga nyumba ya watu baada ya gari
kupoteza mwelekeo.
Subscribe to:
Posts (Atom)















