Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 29 January 2013

50 CENT: RICK ROSS AME-FAKE AJALI YAKE


Hatimaye rapper 50 Cent ameibuka na kumkashifu Rick Ross kuwa amefeki ajali aliyopata jana asubuhi wakati akitokea kwenye birthday party yake ambapo akiwa njiani alirushiwa risasi hivyo gari lake, Royce Rolls, kuhama njia na kugonga nyumba. Cent aliandika katika akaunti yake ya twitter, “Hahahaaaaaa Bonge amegonga nyumba? Inaonekana ni ishu ya kufoji.................................”

'Hahaha fat boy hit the building? Lol it looks staged to me, I ride like OBAMA level 6 bulet proof bomb proof, you already know. [sic]'


Ingawa 50 ameonyesha ku-dought tukio hilo lakini picha zinaonyesha wazi matobo ya risasi katika matairi, bampa na taa za gari la Ross. Ross na 50 wana bifu la muda mrefu toka 2009 Ross alipomchana Cent katika ngoma yake Mafia Music.

Gari ya Ross
Katika ajali hiyo hakuna aliyejeruhiwa katika gari alilokuwemo Ross, girlfriend wake Shateria L. Moragne na dereva wao. Japokuwa 50 ameonyesha mashaka lakini polisi wameichukulia ishu serious na bado wanaifanyia uchunguzi kwa sasa.

Ross
Ross, P Diddy, Fabolous Quincy Combs na Christina Milian

1 comment: