Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 29 January 2013

RICK ROSS ANUSURIKA KIFO


Alfajiri ya jana Jumatatu, The Miami based rapper William Roberts a.k,a Rick Ross alinusurika kuuawa baada ya gari lake kumiminiwa risasi na watu wasiojulikana. Ross alikuwa akitoka kwenye birthday party yake ya 37. Party hiyo ilihusisha list ndefu ya mastaa wakiwemo P Diddy, Fabolous Quincy Combs na Christina Milian just to mention a few.

Ross
Ross na Diddy
Ross, P Diddy, Fabolous Quincy Combs na Christina Milian
Rick Ross akiwa njiani huko Las Olas Boulevard baada ya kula bata usiku mzima, alianza kutupiwa risasi yeye akiwa ndani ya gari lake aina ya Rolls Royce ya silver isiyoingiza risasi! Katika sekeseke hilo dereva wa Ross alijikuta aligonga nyumba ya watu baada ya gari kupoteza mwelekeo.

 Hakuna mtu aliyejeruhiwa kutokana na taarifa ya polisi lakini inasemekana kuwa pengine bifu la muda mrefu lililopo kati yake na 50 Cent inaweza ikawa sababu.



1 comment: