Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 29 January 2013

CHRIS BROWN AZICHAPA STUDIO


Jana Jumatatu Rihanna’s boyfriend Chris Brown alizichapa kavukavu dhidi ya Christopher Francis Ocean better known on stage as Frank Ocean. Brown alikuwa studio akimsikiliza mmoja wa wasanii wake na alipotaka kusepa ndipo alipokutana na Ocean akiwa na kundi lake. Ocean na wanae walikuwa wanamzuia Brown asiondoke huku Ocean akimwambia Brown kuwa hii ni studio yangu na umepaki gari lako katika sehemu yangu. 

Brown akaona isiwe ishu akasogea ampe mkono Ocean, Mara mmoja wa kundi la Ocean akamvamia Brown. Hapo ndipo Brown nae akalianzisha akipewa sapoti na washkaji zake pia!
Brown Vs Ocean
Mpaka polisi walifika eneo la tukio lakini Brown alikuwa ashasepa na Ocean alipohojiwa alisema kuwa chanzo ugomvi wao ni Brown kupaki katika eneo lake na kwamba Brown amemchapa makonde. 
Frank Ocean's twitter account
Frank Ocean ni singer pia mwandishi na ameshawaandikia mastaa kama Brandy, Justin Bieber, and John Legend.  

No comments:

Post a Comment