Ni mtoko wa gazeti jipya la kiarabu mahsusi kwa wakinamama liitwalo Hia. The reality show star Kim Kardashian ameuza sura katika cover la gazeti hilo kwa kutupia vazi la aina yake la hijabu lijulikanalo kama Hajia, au Alhaja ama Burkha.
Kardashian anaonekanaamezifunika nwele zake kulingana na maadili na jinsi vazi husika linavyotakiwa kuvaliwa na wanawake na mbinti wa kiislamu. Mwenye asili haachi asili, katika picha zingine zilizovuja zinaonyesha mpaka sehemu ya matiti ya Kardashian!
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Thursday, 17 January 2013
ANACHOFANYA BEYONCE KABLA YA KU-DO!
Unafanya maandalizi yoyote kabla ya kungonoka? Basi mama yake
Blue
Ivy, Beyonce hufanya! Kwa taarifa yako kabla ya ku-make love na mume wake
kipenzi rapper Jay Z, Bey husikiliza wimbo wa Rick James ‘Make Love to Me’.
CHOZI LA ROONEY UWANJANI!
Haujapita muda mrefu toka mdogo wake mke wa mshambuliaji wa Man Utd Wayne Rooney afariki dunia kutokana na ugonjwa wa "mtindio wa ubongo". Jana, katika FA Cup match kati ya Man Utd dhidi ya West Ham Utd, Rooney alimwaga machozi hii ni baada ya kufunga goli pekee katika mchezo huo uliokuwa wa marudiano na kuivusha United mpaka raundi ya nne.
Huu ni ujumbe wa Rooney mahsusi kwa marehemu shemejie Rosie McLouglin:

Marehemu Rosie McLouglin wakati wa uhai wake pamoja na mke wake Rooney, Coleen.
Huu ni ujumbe wa Rooney mahsusi kwa marehemu shemejie Rosie McLouglin:

Marehemu Rosie McLouglin wakati wa uhai wake pamoja na mke wake Rooney, Coleen.
Tuesday, 15 January 2013
AMBER ROSE KITAMBI HADHARANI
Zikiwa zimebaki siku chache aitwe mama, Amber Rose ameonekana kitaani akienda zake saluni (sio ya Salama katika Mkasi), kutengeneza kucha na nywele jijini Los Angeles, huku kitumbo chake kikionekana wazi, jana Jumatatu!
"Leo ni siku ya kwanza kuanza masomo yangu ya uzazi hapa nyumbani. Hakuna bekitatu wala hospitali, nataka iwe siri ndani ya nyumba yangu. Nimefurahishwa na uzoefu huu", aliandika Amber katika akaunti yake ya twitter siku kadhaa zilizopita huku zikisalia very few days she and Wiz Khalifa kukikaribisha kiumbe chao kipya duniani - a baby boy!
Dizaini kama the X-boyfriend wa Amber, KW, hakuwa akiifanya kazi yake ipasavyo!!!
"Leo ni siku ya kwanza kuanza masomo yangu ya uzazi hapa nyumbani. Hakuna bekitatu wala hospitali, nataka iwe siri ndani ya nyumba yangu. Nimefurahishwa na uzoefu huu", aliandika Amber katika akaunti yake ya twitter siku kadhaa zilizopita huku zikisalia very few days she and Wiz Khalifa kukikaribisha kiumbe chao kipya duniani - a baby boy!
Dizaini kama the X-boyfriend wa Amber, KW, hakuwa akiifanya kazi yake ipasavyo!!!
NICKI MINAJ ANYWEA KWA MARIAH CAREY
The Young Money lady rapper Nicki Minaj atangaza rasmi kufuta bifu kati yake na Mariah Carey, katika interveiw na Ellen DeGeneres itakayorushwa Jumanne(leo). Hii ni baada ya Nicki kuchaguliwa kukaa pamoja na Carey katika panel ya majudge ya American Idol.
"Nilisikia stuff wenzangu chote walichosema na sikuweza kuamini. Niliwasikia wakisema kuwa Carey hanitaki katika jopo la majaji. Lakini nikajisemea kuwa mbona mimi na Carey ni marafiki!", alifunguka Minaj.
Nicki Minaj na Ellen DeGeneres katika interview.
"Nilisikia stuff wenzangu chote walichosema na sikuweza kuamini. Niliwasikia wakisema kuwa Carey hanitaki katika jopo la majaji. Lakini nikajisemea kuwa mbona mimi na Carey ni marafiki!", alifunguka Minaj.
American Idol Judges; Randy Jackson, Mariah Carey,
Keith Urban, Nicki Minaj na mshereheshaji Ryan Seacrest!
Subscribe to:
Posts (Atom)















