Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 15 January 2013

NICKI MINAJ ANYWEA KWA MARIAH CAREY

The Young Money lady rapper Nicki Minaj atangaza rasmi kufuta bifu kati yake na Mariah Carey, katika interveiw na Ellen DeGeneres itakayorushwa Jumanne(leo). Hii ni baada ya Nicki kuchaguliwa kukaa pamoja na Carey katika panel ya majudge ya American Idol. 

"Nilisikia stuff wenzangu chote walichosema na sikuweza kuamini. Niliwasikia wakisema kuwa Carey hanitaki katika jopo la majaji. Lakini nikajisemea kuwa mbona mimi na Carey ni marafiki!", alifunguka Minaj.

    Nicki Minaj na Ellen DeGeneres katika interview.

 
American Idol Judges; Randy Jackson, Mariah Carey, Keith Urban, Nicki Minaj na mshereheshaji Ryan Seacrest!

No comments:

Post a Comment