Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday, 12 February 2013

AFISA POLISI WA KESI YA CHRIS BROWN AJIUZULU


Kamanda wa polisi aliyeratibu na kusimamia adhabu ya Chris Brown ya kuhudumia jamii, amejiuzulu cheo chake. Pamoja na mahakama na kitengo cha Polisi cha Los Angeles kusema kuwa Chris Brown hakukamiisha muda aliotakiwa kuifanya kazi jamii lakini Bryan Norwood amekuwa upande wa Brown mpaka kufikia hatua ya kuandika barua akimtetea Chris kuwa alimaliza muda huo vile inavyotakiwa.

Tetesi zinasema kuwa Bryan Norwood ameacha kazi ili akafanye kazi kama hiyo ya upolisi huko Raleigh, North Carolina, lakini scandal ya Brown ndio inachukuliwa kama sababu kuu na halisi!
Kamanda Bryan Norwood & Brown
Hakimu katika kesi ya Chris Brown kumchapa Rihanna amemhitaji Brown kuithibitishia mahakama kwamba kweli alimaliza muda wote aliotakiwa kuihudumia jamii, kinyume chake Brizzy atakuwa katika wakati mgumu!
                                                                                                                   Wakati huohuo baada ya utolewaji wa tuzo za grammy, Chris Brown na Rihanna wakiwa pamoja batani walionekana wakivuta sigara tena kwa kupokezana, inasemekana kuwa ni bangi!

Brown & Riri na bangi yao






STYLES NZURI NA MBAYA ZA NYWELE ZA BECKHAM!

STYLE KALI;-
Namba 1


Namba 2


Namba 3

Namba 4

Namba 5

Namba 6

Namba 7

STYLE MBAYA;-
Namba 1

Namba 2

Namba 3


Monday, 11 February 2013

ALL THE FASHION ON RED CARPET IN GRAMMY AWARDS, 2013!C

Chris Brown na Rihanna

Rihanna na engagement ring yake

Brown

Rihanna

Beyonce

Alicia Keys

Jenifer Lopez

Adele

Ashanti

Adele

Drake

John Legend

Justine Timberlake

Nas

Ne-Yo

Rick Ross

Wiz Khalifa na Amber Rose

Sean Paul

Katty Perry

ASHLEY COLE ADAKA MTOTO KUPITIA TWITTER

Alilalama kuwa lonely baada ya kuachana na Cheryl Cole mwaka 2010. Lakini inaonekana wazi kuwa sasa Ashley Cole, 32, amekaa sawa baada ya kuopoa mtoto, MTV reality star na model Anna Kelle. tena kupitia mtandao wa kijamii wa twitter!
Ashley Cole
Umbea ulipo ni kuwa Ashley na Anna wana wiki mbili toka waanze uhusiano na walikuwa pamoja jijini London, Chelsea wakila bata katika shisha bar kabla ya kuelekea zao May Fair Hotel ili kuliendeleza bata!
Ashley na Anna batani!
Katika ulaji wao wa bata Ashley na Anna walijitenga na watu wengine huku wakidendeka na kushikana viuno muda wote. Baadhi ya watu waliotaka kwenda kuwapa 'hi' walizuiwa na mabaunsa! Baadae kidogo, Jumapili usiku, Anna alipost picha yake na Ashley na kuandika hivi, 'Lush night at #mayfairclub with ash #amazingclub (sic)'

Baada ya kuachana na Ashley, Cheryl Cole sasa anatoka na Tre Holloway ambaye ni dancer!

Cherl Cole na Tre Holloway




PAPA BENEDICT XVI KUSTAAFU FEBRUARY


Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Benedict wa XVI ametangaza  kustaafu nafasi hiyo February 28. Papa huyo aliyechukua wadhifa huo toka mwaka 2005 alikutana na makardinali huko Vatican leo hii na kutangaza uamuzi huo. Katika taarifu yake Papa alisema kuwa hali ya afya yake ndio inayomfanya afikie uamuzi huo. Papa Ben XVI alionekana Ijumaa iliyopita kushindwa kutembea japo alipata usaidizi wa fimbo.

Taarifa ya Papa Ben XVI umepokelewa kwa mshtuko kwani ameutoa bila hata kushirikisha watu wake wa karibu. Na hii ni tofauti na Papa aliyemrithi, Papa John Paulo II ambaye hakuachia nafasi hiyo mpaka pale alipofariki licha ya kusumbuliwa na ugonjwa kwa kipindi kirefu.