Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday, 30 January 2013

"D'BANJ ANAABUDU SHETANI"

Si maneno ya tztopmodel bali ni ya Majek Fashek, nguli wa muziki wa Reggae huko Naija na Afrika. Mkongwe huyo amefunguka na kumwanika kweupe The G.O.O.D Music artiste Dapo Oyebanjo a.k.a D’ Banj kuwa ni mfuasi safi wa dini inayoabudu shetani, The Illuminati. 

Majek Fashek aliwahi kushika game ya Naija kwa ngoma zake kama Send Down the Rain, So long na nyingine kadhaa, na alinukuliwa hivi alipofanya interview na NET, 

“I like Wizkid and 2face, they play good music. I don’t like the other boy called D’Banj, those ones that went to join Illuminati. Can you go and sell your soul to devil because you want to be famous. I don’t even like his music anyway”

Majek Fashek na D'Banj
Baadhi ya watu na wasanii maarufu waosemekana ni waamini wa dini hiyo ni pamoja na Obama, Kanye West, Jay Z, Beyonce na Rihanna. They are all black right!

D'Banj, Kanye West na Jay Z na ishara ya Illiminati
Jaz Z & Kanye West

RICK ROSS SASA ULINZI 24/7


Unaweza kumuita the luckiest rapper in the world kwa sasa baada ya kunusurika na tukio lililohusisha gari lake aina ya Rolls Royce kumiminiwa risasi kama karanga na bado akatoka salama salmini! Kwa sasa Ross aka Ricky Rozay ameamua kuwekea ulinzi masaa 24 siku zote 7 za wiki ili kujilinda na lolote litakalotokea huko mbeleni.

Rolls Royce ya Rozay baada ya tukio la kutupiwa risasi

 “Huko nyuma Ross alikuwa na kawaida ya kuweka ulinzi kwa ajili ya concerts na mitoko mikubwa tu, Lakini sasahivi ameamua kuweka a full-time security detail”, alisema mtu wa karibu sana na Ross. 
Rozay
 

Tuesday, 29 January 2013

BEYONCE KATIKA BAHARI YA PESA

Jay Z’s wife, Beyonce amesaini mkataba na Kampuni ya kutengeneza soda PEPSI hivyo  Bey anatarajiwa kulamba dola milioni 50 kwa ajili ya show itakayopigwa tarehe 03 February, 2013, katika ukumbi wa Mercedes-Benz Superdome, New Orleans.
Beyonce
Show hii imekuja wakati bado kuna rumours kwamba kundi la Destiny’s Child limerudi na pengine siku hiyo beyonce ata-team up na Michelle Williams and Kelly Rowland – Michelle ingawa Michelle amepinga tetesi lakini amekiri kuwa wamesharekodi ngoma kama Destiny’s Child!
Destiny's Child


T.I ATOA MAONI JUU YA KUDHIBITI UMILIKI HOLELA WA SILAHA


President Barack Hussein Obama yupo katika mchakato wa kutengeneza sheria ya kidhibiti umiliki wa silaha. Papper T.I ana yake aliyoyasema katika interview na Larry King. ‘Larry King Now’. Check video ya interview hiyo!