Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday, 17 August 2013

DORICE MOLLEL NDIYE RED'S MISS ILALA 2013

Kanda ya Ilala usiku wa kuamkia leo ilimtoa mlibwende atakaeiwakilisha kanda hiyo katika Miss Tanzania mwaka huu. Aliyekuwa Miss Ilala Dorice Mollel jana alivikwa taji la Red's Miss Ilala 2013, na kujichukulia kitita cha 1.5 milioni. Nafasi ya pili ilichukuliwa na Alice Isaac (1 milioni) na wa tatu ni Clara Bayo (laki 7). 


Thursday, 15 August 2013

RIHANNA TENA

Mwana Muziki Machachari Rihanna haachi vituko kila kukicha na hiki ndicho kituko kipya










REDD'S MISS ILALA NI IJUMAA HII

Shindano la kumsaka mlimbwende wa Ilala litafanyika siku ya ijumaa tarehe 16/08/03 kuanzia saa 2 za usiku katika ukumbi Mpya na wa kisasa katika jengo la GOLDEN TOWER
Katika kuelekea kilele cha shindano hilo jana usiku kulifanyika shindano la vipaji katika ukumbi wa city sport longe ambapo wasichana watano kati ya 10 walioshiriki shindano hilo walifanikiwa kutinga  fainali ambapo fainali hzo zitaendana na sambamba na kumpata Redd;s Miss Ilala 2013.
Cheki picha mbali mbali za tukio hilo.









JAY Z NA DIDDY WAMCHEKA KENDRICK LAMAR

Fasta baada ya kujitangazia Ufalme wa jiji la New York, The hot Hip Hop star Kendrick Lamar amepata majibu. Majibu yanatoka kwa legends ya game ya Hip Hop duniani, Jay Z na Sean Comb 'Diddy' kwa kusema kuwa dogo huyu ana utani sana! Kwa upande mwingine Jay na Diddy wameichukulia kauli hii kama kutafuta kiki tu ya kimuziki! 


Friday, 9 August 2013

MAJERUHI WA TINDIKALI ZANZIBAR HAWA HAPA

RAISI AWAFARIJI MAJERUHI AGA KHAN HOSPITAL
                       Kabla ya Tukio

                            Baada ya kumwagiwa Kitu kinacho zaniwa ni                 maji maji ya tindi kali                     
    Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dr J.M.Kikwete
   akitoka Hospita AGA KHAN kuwajulia hali