Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday, 3 May 2013

BAADA YA KUUJAZA UWANJA, SASA WAPEWA JINA LA DR. CHAMELEON!

Hii haijawahi kutokea huko Uganda kwa local artistes. Show ya uzinduzi wa album ya ‘Badilisha’ ya Mfalme Doctor Chameleon iliyofanyika wiki iliyopita ndiyo mpaka sasa inayokamata namba moja kwa kuujaza uwanja huu wa Rugby, Kyaddondo Rugby grounds! Wamiliki wa huu uwanja wakaona isiwe tatizo, wakaamua kufuta jina la uwanja na sasa uwanja huu unaitwa Jose Chameleon Rugby grounds!

Siku ya show ya ‘Badilisha’, toka saa 10 jioni kulikuwa na foleni ya hatari ya raia na mpaka kufika saa 1 usiku, uwanja ulikuwa ushatema na watu elfu kumi walikuwa tayari wapo uwanjani kwa uzinduzi huo!

Bebe Cool the Prince ndio anafuata kwa kuujaza uwanja huo alipozindua albam yake ya ‘Kamwako’ na watatu ni The Novice Bobi kupitia albam yake ya ‘Tugambire Ku Jennifer’ ambapo aliingiza watu elfu 8.


Thursday, 25 April 2013

NDANI YA MJENGO WA PETER P-SQUARE!

Muda mfupi uliopita Peter Okoye ametupia picha zifuatazo kwenye page yake ya Instagram na kuandika, "home sweet home".






 

 


T-PAIN ANYOA DREADS!

Msanii wa Hip-hop na RnB pande za USA, T-Pain, ameamua kunyoa dreads zake. T-Pain pia aliandia hivi kupitia instagram, "We must all learn to adjust with our surroundings. Those who get stuck doing the same things for too long are bound to get left behind the strong who press on and reinvent themselves. Also. Good news. Hair grows back,"

T-Pain wa zamani
T-Pain pia alichukua nafasi kutangaza ujio wake mpya wa albam, 'Stoicville' bila kutaja lini itakuwa tayari but just tay tuned!
T-Pain mpya

Tuesday, 23 April 2013

MKESHA WA UBINGWA WA 20 MACHESTER UNITED!

Baada ya kuchukua ubingwa kwa mara ya 20, mkesha wa shamrashamra hizo ulifanyika Cafe Rouge. Wayne Rooney, Robin van Persie na Rio Ferdinand waliongoza sherehe hizo zilizoishia leo asubuhi ya saa 12!

Bata lilianzia chumba cha kubadilioshia nguo!



Usiku wake sasa.....







Asubuhi ya leo wakijirudisha taratibu....