Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 23 April 2013

MKESHA WA UBINGWA WA 20 MACHESTER UNITED!

Baada ya kuchukua ubingwa kwa mara ya 20, mkesha wa shamrashamra hizo ulifanyika Cafe Rouge. Wayne Rooney, Robin van Persie na Rio Ferdinand waliongoza sherehe hizo zilizoishia leo asubuhi ya saa 12!

Bata lilianzia chumba cha kubadilioshia nguo!



Usiku wake sasa.....







Asubuhi ya leo wakijirudisha taratibu....
 


No comments:

Post a Comment