Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday, 23 February 2013

CASH MONEY WAIBA NGOMA.

Music label Cash Money Records inayomilikiwa na Lil Wayne na Birdman wameingia matatizoni na watatakiwa kusimama mbele ya pilato kujibu shtaka la ku-sample wimbo wa "Love Gonna Pack Up (and Walk Out)" wa bendi ya The Persuaders.

 
Robert Poindexter, producer wa bendi hiyo ya miaka ya 1970 alisema kuwa ngoma hiyo iliyorekodiwa mwaka 1972 ndio imezalisha ngoma ya "Still Ballin” ya Bow Wow ikiwa imetengenezwa na Cash Money Records. Poindexter alisema si Cash Money wala Bow Wow walipata ruhusa ya ku-sample wimbo huo. Ilipotoka "Love Gonna Pack Up (and Walk Out)" ilifanikiwa kutop charts mbalimbali huko US of A.

Poindexter amesema kuwa aliwafuata Cash Money kwa ajili ya kuzungumzia ishu hii lakini Cash Money wakamwambia awasiliane na Bow Wow. Alipowasiliana na Bow Wow huko pia akarudishwa kwa Cash Money na ndio maana akaamua kuwashtaki Cash Money. Poindexter anahitaji zaidi ya dola 600,000 katika kesi hii. 


CASH MONEY WAIBA NGOMA.

Music label Cash Money Records inayomilikiwa na Lil Wayne na Birdman wameingia matatizoni na watatakiwa kusimama mbele ya pilato kujibu shtaka la ku-sample wimbo wa "Love Gonna Pack Up (and Walk Out)" wa bendi ya The Persuaders.

 
Robert Poindexter, producer wa bendi hiyo ya miaka ya 1970 alisema kuwa ngoma hiyo iliyorekodiwa mwaka 1972 ndio imezalisha ngoma ya "Still Ballin” ya Bow Wow ikiwa imetengenezwa na Cash Money Records. Poindexter alisema si Cash Money wala Bow Wow walipata ruhusa ya ku-sample wimbo huo. Ilipotoka "Love Gonna Pack Up (and Walk Out)" ilifanikiwa kutop charts mbalimbali huko US of A.

Poindexter amesema kuwa aliwafuata Cash Money kwa ajili ya kuzungumzia ishu hii lakini Cash Money wakamwambia awasiliane na Bow Wow. Alipowasiliana na Bow Wow huko pia akarudishwa kwa Cash Money na ndio maana akaamua kuwashtaki Cash Money. Poindexter anahitaji zaidi ya dola 600,000 katika kesi hii. 


KANYE WEST AMTOSA KIM KARDASHIAN!

Alilaumiwa sana kwa kutokea mara kadhaa katika reality shows za demu wake Kim Kardashian mwenye ujauzito wa miezi minne! Na sasa inaonekana Kanye West amelitilia maanani suala hili na sasa hataki tena!

Kanye West ametangaza rasmi kumtosa Kim K katika maana ya kutoonekana kabisa katika shows hizo katika kile alichosema kuwa kuonekana mara nyingi on tv kitampunguzia umaarufu mbele ya hadhira!


Moja kati ya sababu za kuachana na boyfriend wake wa zamani, NFL football player Reggie Bush ni kukataa kutokea katika reality shows za Kim, sasa itakuaje kwa KW baada ya kumtosa KK ku-appear katika shows zake?

KW & KK


PREZZO AND FRIENDS PAYING LAST RESPECT TO GOLDIE



OSCAR PISTORIUS APATA DHAMANA


Oscar Pistorius yupo huru! Mkimbiaji mbio kwa miguu ya bandia ameachiwa na yupo nje kwa dhamana kufuatia kesi inayomkabili ya kutuhumiwa kumuuwa mpenzi wake, Reeva Steenkamp  siku ya Valentine, February, 14. Dhamana inakaribia randi ya Afrika Kusini 1,000,000 ambayo ni dola 113,000 za Kimarekani.

Pistorius aliyekuwa rumande kwa siku 8 amepewa masharti kadhaa ya dhamana yakiwemo kusalimisha pass yake ya kusafiria na silaha zote anazomiliki. Pistorius pia haruhusiwi kutoka nje ya mji wa Pistorius na la mwisho haruhusiwi kutumia kinywaji chochote chenye kilevi!

Kesi ya Pistorius imeahirishwa mpaka June 4.

Oscar Pistorius