Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday 23 February 2013

CASH MONEY WAIBA NGOMA.

Music label Cash Money Records inayomilikiwa na Lil Wayne na Birdman wameingia matatizoni na watatakiwa kusimama mbele ya pilato kujibu shtaka la ku-sample wimbo wa "Love Gonna Pack Up (and Walk Out)" wa bendi ya The Persuaders.

 
Robert Poindexter, producer wa bendi hiyo ya miaka ya 1970 alisema kuwa ngoma hiyo iliyorekodiwa mwaka 1972 ndio imezalisha ngoma ya "Still Ballin” ya Bow Wow ikiwa imetengenezwa na Cash Money Records. Poindexter alisema si Cash Money wala Bow Wow walipata ruhusa ya ku-sample wimbo huo. Ilipotoka "Love Gonna Pack Up (and Walk Out)" ilifanikiwa kutop charts mbalimbali huko US of A.

Poindexter amesema kuwa aliwafuata Cash Money kwa ajili ya kuzungumzia ishu hii lakini Cash Money wakamwambia awasiliane na Bow Wow. Alipowasiliana na Bow Wow huko pia akarudishwa kwa Cash Money na ndio maana akaamua kuwashtaki Cash Money. Poindexter anahitaji zaidi ya dola 600,000 katika kesi hii. 


No comments:

Post a Comment