Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday, 22 February 2013

WIZ KHALIFA + AMBER ROSE = SEBASTIAN 'THE BASH' TAYLOR THOMAZ

Hatimaye penzi limejibu. Habari njema kwa whole world of entertainment kwamba rapper Wiz Khalifa na supa model Amber Rose wamepata mtoto wa kiume na kupewa jina la Sebastian 'The Bash' Taylor Thomaz na Wiz Khalifa. Asubuhi ya Ijumaa Amber, 29, ali-break the news yote kuwa the new baby born is in town!


Cameron Jibril Thomaz a.k.a Wiz, 25,  alionekana akiwa so emotional huku akiwa amembeba mwanae mikononi. Later Wiz alitweet kitu cha kushangaza. Eti baada ya Amber kujifungua kitu cha kwanza kuhitaji ni 'whiskey na sigara'!
 

Kwa nyakati tofauti wazazi wote, Wiz na Amber walijipongeza kwa kumpata mtoto, pia Rihanna alitweet pongezi za kutosha kwa Amber kwa kumleta duniani Sebastian ‘The Bash’



Thursday, 21 February 2013

KIM KARDASHIAN SI LOLOTE

Ni maneno ya mwigizaji filamu Ghana, Juliet Ibrahim. Juliet amechukizwa na mkwanja wa dola 500,000 aliovuta Kim Kardashian kwa kutokea on stage tu, tena chini ya dakika moja katika concert ya ‘Love Like A Movie’. Kupitia istagram yake, Julie aliandika, 

“Sijajua kwanini alilipwa kiasi kile cha pesa plus gharama ya kumsafirisha. Huku akiperform for oonly sekunde 45 tu! Ni wakati sasa wa ku-appreciate vipaji vyetu vya Africa. Uzuri wangu ni wa asili na sio wakufanya upasuaji”

Pamoja na hayo aliyoyasema Julie lakini bado kuna sababu kuu za Kim K kudondoshwa Nigeria. Moja ikielezwa kuwa ni sababu ya kibiashara zaidi. KK akifahamika zaidi duniani kwa kuwa na wafuasi milioni 15 katika twitter na ‘likes’  milioni 12 katika facebook. Endorsements kadhaa plus super producer boyfriend. Je kama Julie angehost show ile angeweza kuvutia watu locally na internationally? Obviously ‘no’!


HAPPY BELATED BIRTHDAY RIHANNA!


Pengine hii ndio moment ambayo Rihanna a.k.a Riri alikuwa anaisubiri kwa hamu sana. Nayo ni kuspend time na her very very beloved boyfriend Chris Brown. At last she got him. Kwa pamoja wakakwea pipa mpaka visiwa vya Hawaii na kuspend siku nzima ya jana wakitanua na kula bata, ‘pengine hata kuvuta bangi’. Ni siku ya kuzaliwa kwa Rihanna, miaka 25 sasa! 



Inasemekana kuwa eti jana Brown alikuwa adondoke goti na kumuuliza  Riri, “Will you marry me?”
So far nothing of that kind has been reported!



Wednesday, 20 February 2013

OSCAR PISTORIUS ASHIKWA PABAYA MAHAKAMANI!

Ile kesi ya Oscar Pistorius, mkimbiaji riadha kwa kutumia miguu ya bandia, kutuhumiwa kumuuwa mpenzi wake Reeva Steenkamp siku ya Valentine imepata taswira mpya leo hii! Shahidi mmoja akitoa ushuhuda wake mahakamani jana alisema kuwa Oscar Pistorius alipomtungua  Reeva kwa bastola yake kwa maya ya kwanza, Reeva alisikika akilia, lakini Pistorius aliendelea kummiminia na kummiminia risasi!

Pistorius mahakamani

Oscar Pistorius na Reeva Steenkamp
Ikiwa bado masikilizano ya dhamani yakiendelea siku ya Jumatano shahidi mwingine alisema kuwa alisikia mlio wa risasi huku kukiwa na mwanga, mara akasikia mwanamke akilia kwa maumivu, na tena milio ya risasi iliendelea. Sasa hii ni tofauti na maelezo ya Pistorius aliyesema mahakamani kuwa alimpiga mtu (mpenzi wake) kukiwa na giza nene. Zaidi ya hapo bado upande mashtaka unasema kuwa upo ushahidi wa kuwepo kwa majibizano baina ya Pistoruis na Reeva kati ya saa nane na tisa usiku kabla ya mauaji.

Chooni ulipokutwa mwili wa marehemu Reeva Steenkamp
  
Ushahidi huu wote unamuweka Pistorius katika wakati mgumu zaidi hasa wa kupata dhamani kwa wakati huu.



SABABU YA KIFO CHA GOLDIE HIKI HAPA!

Ni muda sasa kukiwa na ukimya maradufu na sintofahamu kuhusiana na nini kilimuuwa msanii wa Nigeria Goldie. Sasa sababu ya umauti wake hadharani.

‘Stroke’ ama Kiharusi kilichosababishwa na kupanda kwa presha, High Blood Pressure au Hypertensive intracerebral hemorrhage kwa muda mrefu! Inasemekana Goldie aliathirika kwa muda mrefu. Hypertensive intracerebral hemorrhage ni aina ya Kiharusi inayosababisha kuvuja kwa damu kwenye ubongo!