Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday 20 February 2013

SABABU YA KIFO CHA GOLDIE HIKI HAPA!

Ni muda sasa kukiwa na ukimya maradufu na sintofahamu kuhusiana na nini kilimuuwa msanii wa Nigeria Goldie. Sasa sababu ya umauti wake hadharani.

‘Stroke’ ama Kiharusi kilichosababishwa na kupanda kwa presha, High Blood Pressure au Hypertensive intracerebral hemorrhage kwa muda mrefu! Inasemekana Goldie aliathirika kwa muda mrefu. Hypertensive intracerebral hemorrhage ni aina ya Kiharusi inayosababisha kuvuja kwa damu kwenye ubongo!


No comments:

Post a Comment