Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Saturday, 9 February 2013

FUTENI PICHA ZANGU - KANYE WEST

Kim Kardashian’s boyfriend, Kanye West ameitaka kampuni ya Getty Images kufuta picha zake alizokuwa amevaa sketi wakati aki-perform jukwaani katika show ya Hurricane Sandy benefit concert, 2012. Sketi hiyo ilibuniwa na designer wake Mr West na Riccardo Tisci. 



Kanye amefikia maamuzi hayo baada ya kupata comments mbaya toka kwa artistes kama Chris Brown na rapa Lord Jamar. Jamar aliandika katika ukurasa wake wa twitter kuwa West alileta uvaaji wa skinny jeans katika rap na sasa anavaa sketi katika video……”
'He introduced the skinny jeans to the rap scene/Then he wore a f*****g skirt on the video screen/Then he wore it again at a memorial/I can't pretend this s**t ain't deplorable.'

Kanye alivaa tena sketi hiyo katika tour ya 'Watch The Throne' akiwa pamoja na Jay Z.

 Check video ya Kanye na sketi yake on stage:


Friday, 8 February 2013

JAY Z SURA MBAYA!


The American actress, singer, and fashion designer, Amanda Bynes, 26, leo hii ameandika katika ukurasa wake wa twitter na pia ku-attach hata picha kuwa Honorable Mr Carter a.k.a Jay Z ana sura mbaya. Lakini haukupita muda, aliiondoa picha hiyo bila kuomba radhi!
Ukurasa wa Amanda Bynes



Amana Bynes
Jay Z hakuonekana kujali pengine kwa kutofahamu lolote kuhusiano na kile alichoandika Amanda na badala yake alikuwa zake Venice pamoja na mke wake Beyonce na binti yao Blue Ivy!
Mr Ugly face?

CHECK KICHUPA KIPYA CHA STEVE R N' B FT. OMMY DIMPOZ



Thursday, 7 February 2013

LIL KIM ARUDI UTOTONI


The Lady Marmalade star, Lil Kim alionekana tofauti sana alipotokelezea kwa mara kwanza Hollywood wiki iliyopita. Pia Kim alionekana wa tofauti kabisa alipotokea ku-party huko West Hollywood. Umri wa miaka 38 lakini bado alitoka na sura ya kitoto iliyomfanya kila mtu amshangae!
Lil Kim na Mariah Carey, 1997
Mwonekano wake huo umefanya watu waanze kuhisi kuwa Lil Kim amefanya plastic suggery ili kurudisha mwonekano wake. Lil Kim ali-make headline hivi majuzi kwa kupiga collabo katika video mpya ya Miley Cyrus


Kim na Miley Cyrus


RIHANNA KAFA KAOZA KWA CHRIS BROWN!

Hicho ndicho unachoweza kusema kama tafsiri ya yale anayoyafanya ‘The Umbrella singer’ Rihanna kwa Chris Brown. Kwani licha ya kuchezea kipigo mwaka 2009 pamoja na mavurugu mengine kibao ya mapenzi lakini mtoto Rihanna hakomi hachoki hahemi kwa The Bad boy Brizzy!
Chiss Brown & Rihanna, 2009
Pamoja na kichapo na huku kesi ikiwa kwa pilato lakini bado Riri alimsindikiza Brown mahakamani Los Angeles, jana Jumatano. Kabla ya Brown kuzama mahakamani Rihanna alimuaga Brown kwa mabusu na maneno yakumtia moyo. Brown bado yuko na tuhuma za kutomaliza muda aliopewa na mahakama kwa ajili ya kuhudumia jamii!
Brown akiingia kortini akisindikizwa na Rihanna
Mama yake Brown, Joyce Hawkins, Brown na Rihannawakiingia kortini
Chris Brown na wakili wake
Chris Brown akihudumia jamii kwa kufanya usafi wa mazingira
Kesi imeahirishwa mpaka tarehe 5 April. Brown 23 na Rihanna, 24 waliondoka mahakamani pamoja wakiwa wameshikana mikono.

Cheki video ya mahakamani: