Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday, 17 January 2013

CHOZI LA ROONEY UWANJANI!

Haujapita muda mrefu toka mdogo wake mke wa mshambuliaji wa Man Utd Wayne Rooney afariki dunia kutokana na ugonjwa wa "mtindio wa ubongo". Jana, katika FA Cup match kati ya Man Utd dhidi ya West Ham Utd, Rooney alimwaga machozi hii ni baada ya kufunga goli pekee katika mchezo huo uliokuwa wa marudiano na kuivusha United mpaka raundi ya nne. 

Huu ni ujumbe wa Rooney mahsusi kwa marehemu shemejie Rosie McLouglin:

 rooney



Marehemu Rosie McLouglin wakati wa uhai wake pamoja na mke wake Rooney, Coleen.

Tuesday, 15 January 2013

AMBER ROSE KITAMBI HADHARANI

Zikiwa zimebaki siku chache aitwe mama, Amber Rose ameonekana kitaani akienda zake saluni (sio ya Salama katika Mkasi), kutengeneza kucha na nywele jijini Los Angeles, huku kitumbo chake kikionekana wazi, jana Jumatatu!

"Leo ni siku ya kwanza kuanza masomo yangu ya uzazi hapa nyumbani. Hakuna bekitatu wala hospitali, nataka iwe siri ndani ya nyumba yangu. Nimefurahishwa na uzoefu huu", aliandika Amber katika akaunti yake ya twitter siku kadhaa zilizopita huku zikisalia very few days she and Wiz Khalifa kukikaribisha kiumbe chao kipya duniani - a baby boy!

Dizaini kama the X-boyfriend wa Amber, KW, hakuwa akiifanya kazi yake ipasavyo!!!





NICKI MINAJ ANYWEA KWA MARIAH CAREY

The Young Money lady rapper Nicki Minaj atangaza rasmi kufuta bifu kati yake na Mariah Carey, katika interveiw na Ellen DeGeneres itakayorushwa Jumanne(leo). Hii ni baada ya Nicki kuchaguliwa kukaa pamoja na Carey katika panel ya majudge ya American Idol. 

"Nilisikia stuff wenzangu chote walichosema na sikuweza kuamini. Niliwasikia wakisema kuwa Carey hanitaki katika jopo la majaji. Lakini nikajisemea kuwa mbona mimi na Carey ni marafiki!", alifunguka Minaj.

    Nicki Minaj na Ellen DeGeneres katika interview.

 
American Idol Judges; Randy Jackson, Mariah Carey, Keith Urban, Nicki Minaj na mshereheshaji Ryan Seacrest!

Saturday, 12 January 2013

BECKHAM BACK TO LONDON

The 37-year-old footballer, David Backham amekodisha kijiji huko London ambacho inasemekana kimemgharimu £20million! Limjengo hilo linafananishwa na la mkali wa movies za 007, James Bond,, thanks to state-of-the-art security.
Jumba hilo linamilikiwa na Touker Suleyman, boss wa Ghost and Hawes & Curtis. David mwenyewe ameonekana akirandaranda nje ya mjengo huo siku ya Alhamisi!

David and wife Victoria along with their children, Brooklyn, 13, Romeo, 10, Cruz, seven and Harper, 18 months (not pictured) are said to be excited about living in London!




                Mwonekano wa mjengo wa Beckham kwa mbele!


                      Beckham, Posh, Brooklyn, 13, Romeo, 10, Cruz, seven and Harper.

VITA YA BIKINI KATI YA RIRI NA KIM K

Ishakuwa gumzo mbele ya hadhira ya wana-Show Bizz ya duniani kati ya figure ipi matata kati ya Top Stars, speaking of Diamond singer and Chriss Brown's baby come back Rihanna versus Kanye's baby mama, Kim Kardashian, wote wakiwa ndani ya kijivazi kimoja tu cha bikini! Who got delicious booty? 
Mambo ya Wanadamu hayo!

    Kim K


Riri