F
Dirty Game filamu mpya iliyoandaliwa na kampuni ya Tuesday Entertainment Ltd ya jijini Dar es salaam inaweza ikawa ndiyo filamu ambayo imeaandaliwa kwa gharama zaidi kulinganisha na filamu zinazoendelea kutengenezwa na watayarishaji wa filamu hapa nchini.
"Unajua gharama zilikuwa kubwa kutokana na location tulizotumia mwanzo wa filamu hadi mwisho, filamu ya Dirty Game imerekodiwa katika Boti na ndege kwa hiyo katika ndege tulitumia camera zaidi 10 kwa ajili ya kunasa kila tukio ili kila kitu kionekane bila kurudia tukio hilo kwani kuwa hewani ni gharama,” Mr. Chuzi.
ya Dirty Game imerekodiwa katika bahari na angani kutoka Dar es salaam kuelekea Zanzibar.
Filamu hiyo imeshirikisha wasanii wengine kama Tuesday Kihangala ‘Mr. chuzi’, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, Michael Philipo ‘Kojack’, Bad boy, Mzee Bomba na wasanii kutoka kampuni ya Tuesday...
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Tuesday, 4 September 2012
HII SASA ISHAKUWA MTUMBA! - WIMBO WA MWANZA ALL STARS WAIMBWA NA UNDERGROUNDS
Kwa hali ya kushangaza jana wimbo wa Mwanza All Stars uitwao "Mwanza" uliotoka jana, tofauti na ilivyotegemewa wimbo huu umeimbwa na chipikizi tofauti na ilivyotegemewa labda ungekusanya vichwa kama Fid Q, PNC, Dudu Baya, Kabago,H
baba na wengine wengi ambao ni maarufu kama ilivyokuwa kwa wenzao wa Kigoma Allstars walioimba "Leka Dutigike".
Wimbo huu umeimbwa na wasanii kutoka wachanga kwenye game toka Mwanza ambao ni Sagna,Baraka,G,riko,Athuman,Saxena,Kijo na Seco Bwai.
Track imetengenezwa studio za Mbunda Records zilizopo jijini mwanza .
Track yenyewe hii hapa...
MOVIE YA IN BETWEEN YA MONALISA NA MAMA YAKE SOKONI SOON
Subscribe to:
Posts (Atom)


