Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 10 January 2013

MARIO BALOTELI NA STYLE MPYA YA NYWELE

Mchezaji mtukutu wa Manchester City Mario Baloteli sasa kuja na staili mpya ya nywele.

Mchezaji huyo aliiibuka katika uwanja wa mazoezi asubuhi ya leo akiwa na style yake ileile iliyozoeleka lakini zikiwa na rangi ya Gold na kumfanya aonekane katika muonekano tofauti na ilivyozoeleka.

MARIO BALOTELI KATIKA MUONEKANO MPYA

MARIO BALOTELI KATIKA MUONEKANO WA ZAMANI

No comments:

Post a Comment