Wakati huo huo Ashanti yupo katika harakati za kutoa albam yake mpya "BraveHeart" itakayotoka tarehe 30 July akiwashirikisha wasanii kama Meek Mill, french Montana na singer Keyshia Cole.
Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Wednesday, 12 June 2013
ASHANTI KUTOKA UPYA NA JA RULE
Unazikumbuka hits "Always On Time" and "Mesmerize". Ni ngoma zilizowatakatisha vizuri Ja Rule na Ashanti na kuwafanya waoenekane moja kati ya collaboraters wakati huo. Sasa baada ya Ja Rule kutoka jela, Ashanti amesema kuwa yupo mbioni kufanya tena ngoma kadhaa na rapper Ja Rule.
Wakati huo huo Ashanti yupo katika harakati za kutoa albam yake mpya "BraveHeart" itakayotoka tarehe 30 July akiwashirikisha wasanii kama Meek Mill, french Montana na singer Keyshia Cole.
Wakati huo huo Ashanti yupo katika harakati za kutoa albam yake mpya "BraveHeart" itakayotoka tarehe 30 July akiwashirikisha wasanii kama Meek Mill, french Montana na singer Keyshia Cole.
Tuesday, 11 June 2013
MARIO BALOTELLI AMVISHA PETE DEMU WAKE!
Kupitia akaunti yake ya Instagram, mpenzi wake 'Super' Mario Balotelli, Fanny Negeusha amepost picha ya pete yake ya uchumba aliyovishwa na Balotelli. Pete hiyo inagharimu kiasi cha £100,000/=.
Fanny Negeusha, Belgian model aliandika chini ya picha hiyo kuwa 'It's official!'. Miezi 6 imepita toka uhusiano wao uanze na inasemekana kuwa Balotelli na Fanny wako katika maandalizi ya harusi yao!
Fanny Negeusha, Belgian model aliandika chini ya picha hiyo kuwa 'It's official!'. Miezi 6 imepita toka uhusiano wao uanze na inasemekana kuwa Balotelli na Fanny wako katika maandalizi ya harusi yao!
Monday, 10 June 2013
RIHANNA AVUNJA REKODI UFARANSA
Haijawahi kutokea! Katika umri wa miaka 25 tu, Rihanna ameweza kuweka historia kwa kuujaza uwanja wa kandanda wa Stade De France alipogonga show yake ya wazi Week-end hii. Ni Lady Gaga pekee ndio aliyekuwa ameishikilia rekodi hiyo kwa kuutitirisha uwanja huo akiwa na umri mdogo, miaka 26 lakini Rihanna amemfunika vibaya Lady Gaga huku Rihanna akiwa ana miaka 25 tu.
Mmoja kati ya fans wake ali-tweet hivi baada ya show hiyo:
"Rihanna is also the youngest person to ever headline Stade De France"
Mmoja kati ya fans wake ali-tweet hivi baada ya show hiyo:
"Rihanna is also the youngest person to ever headline Stade De France"
CHRIS BROWN MAHAKAMANI LEO
The bad boy Chris Brown anatarajiwa kukutana uso kwa uso na pilato leo hii mezani kukiwa na mashtaka yanayomkabili kwamba hakukamilisha muda rasmi aliotakiwa kuitumikia jamii (community service), ikiwa kama adhabu baada ya kukutwa na hatia ya kumchapa makonde aliyekuwa girlfriend wake, Rihanna, mwaka 2009. Chriss Brown alitakiwa aitumikie jamii kwa siku 180 na April mwaka huu alikuwa mahakama lakini pilato aliihairisha kesi hiyo baada ya kukosa baadhi ya taarifa muhimu.
Chris Brown yupo mbioni kutoa albam yake ya 6 iitwayo "X", tarehe 16, July akiwashirikisha Kendrick Lamar, Nicki Minaj, Wiz Khalifa na Jennifer Lopez na tayari ameshatanguliza ngoma ya 'Fine China" ambayo ipo namba 31 katika Billboard Hot 100 chart.
Chris Brown yupo mbioni kutoa albam yake ya 6 iitwayo "X", tarehe 16, July akiwashirikisha Kendrick Lamar, Nicki Minaj, Wiz Khalifa na Jennifer Lopez na tayari ameshatanguliza ngoma ya 'Fine China" ambayo ipo namba 31 katika Billboard Hot 100 chart.
KANYE WEST ASHEREHEKEA BIRTHDAY BILA KIM KARDASHIAN
Kanye West ametimiza miaka 36 na kuangusha bonge la party la kimya kimya. Party hili liliwahusisha watu wake karibu tu wakiwemo Beyonce na Jay Z. Nas pia alikuwepo mjengoni. Ila kilichowashangaza watu wengi ni kutoonekana kwa mama kijacho wake, Kim Kardashin.
Lakini wataalam wa mambo wanasema kuwa Kim K alishindwa kupaa mpaka New York kwavile yupo katika nyakati za majeruhi akikaribia kabisa siku zake za kumleta duniani mtoto wake wa kwanza ambaye tayari madaktari wameshasema kuwa atakuwa mwenye jinsia ya kike!
Lakini wataalam wa mambo wanasema kuwa Kim K alishindwa kupaa mpaka New York kwavile yupo katika nyakati za majeruhi akikaribia kabisa siku zake za kumleta duniani mtoto wake wa kwanza ambaye tayari madaktari wameshasema kuwa atakuwa mwenye jinsia ya kike!
Subscribe to:
Posts (Atom)








