Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Friday, 31 August 2012
Thursday, 30 August 2012
MSINIITE MZEE MAGARI.
Nyota kwenye tasnia ya filamu nchini Charles Magari amekataa kuitwa
mzee while age yake imeshasogea.
Hali hiyo ilitokea hivi karibuni baada ya wasanii chipukizi kumpa
jina la 'mzee' kutokana na ushauri wake anaowapa wasanii hao kwenye tasnia hiyo.
"Mimi sitaki kabisa kusikia mtu ananiita mzee wakati ni kijana, nashangaa kila nikipita mitaani naitwa mzee waambieni na wengine silitaki jina hilo”, Mzee
Pia mzee Magari alisema kuwa yupo mbioni kuzindua filamu yake inayoitwa "Zig Zag" iliyoandaliwa na Pilipili Entertainment, mbapo ndani yake kutakuwepo na vichwa kama Haji Adam na Mohamed Fungafunga.
MWAKA WA SHETANI KWA MAY D, YOU TUBE ACCOUNT YAKE YAFUTWA
We all know that May D hivi sasa hayupo tena chini ya label ya Square Records, leboiliyokuwa isimamia kazi zake hadi hivi majuzi alipotimuliwa.
Kwa upande mwingine inashtusha kusikia kuwa official YouTube channel ya singer huyu liyokuwa ikisimamiwa na Iroko Partners imefutwa siku mbili zilizopita pamoja na video zake za "Soundtrack" na "Ile Ijo".
Pamoja na videos za nyimbo hizo, page nyingine zilizotolewa ni pamoja na streams za still clips.
Square
Records’ Youtube accounts pia zinasimamiwa na Iroko Partners.
Hadi sasa haijawekwa wazi iwapo ni Square Records, Iroko au hata
May D mwenyewe aliyeamua kuifuta account hiyo.
Infoz za kuaminika zinadai kuwa hadi sasa hakuna e-mail hata moja iliyotumwa kwa Iroko na pia Square records kuulizia issue imeibiwa.
Kwenye recent interviews Psquare waliweka wazi kuwa kuondoka kwa May D kwenye label hiyo kutamfanya kuwa na ya kujibu kiuongozi zaidi.
GADNER HUYO TIMES FM ATAKUWA AKITANGAZA SHOW IITWAYO MASKANI
Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha
Jahazi, Garder G Habash aka Captein anatarajia kuanza kutangaza tena Jumatatu
ijayo kupitia kituo cha radio cha Times FM 100.5 cha Dar es Salaam kwenye kipindi cha .
"Maskani" kitakachokuwa kikiruka from Jumatatu to Ijumaa saa 10
jioni hadi saa 1 usiku.
Rumors dong the rounds ni kuwa mtangazaji huyo atakuwa akilipwa shilingi milioni 5 kwa mwezi na kama tetesi hizi zitakuwa ni za kweli basi Gadner atakuwa the most paid radio personality in Tezee.
![]() |
| Gadner akiongea machache baada ya kutambulishwa Times FM |
Kipindi chake kinatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na
kipindi chake cha zamani, Jahazi cha
Clouds FM ambacho kwa sasa huendeshwa na Arnord Kayanda, Wasiwasi Mwabulambo na
Ephraim Kibonde.
Hata hivyo Clouds FM watakuwa na advantage katika mikoa
mingine ambayo Times FM haisikiki.
![]() |
Picha ya pamoja ya baadhi ya watangazaji wa Times FM.
Kutoka kushoto ni: Gadner, Schola, Natasha, Ndimbo, Dida na Joet.
|
Subscribe to:
Posts (Atom)





