Tanzania top model audition
Tanzania top model audition
Thursday, 23 August 2012
EXCLUSIVE: K LYNN IS PREGIOUS
![]() |
| Mama kijacho |
List ya baby boom kwenye Miss Tanzania inataongeza siku si nyingi.
Baada ya Hoyce Temu, Nagris Mohammed, Miriam Gerald, Silvia Shally na Nancy Sumari ambao waliwahi kuwa mamiss Tezee kumuongezea Uncle Lundenga cheo cha U-uncle baada ya kujaliwa watoto, latest news ni kwamba Jacquline Ntuyabaliwe better known as K Lynn naye yuko mbioni kuongeza mjomba mwingine coz she's now eating for two.
Habari za uhakiaka zinadai kuwa jamaa mwenye makampuni MEEENGI hapa nchini ndiye aliefanikisha zoezi hilo.
MB DOGG KWENYE MOVIE
Filamu kali na ya kusisimua ya Nankonda wa Mikindani inayotarajia
kuingia sokoni hivi karibuni ndio itakayokuwa filamu ya kwanza
kumtambulisha msanii wa Bongo fleva kwa jina la Mbwana Mohamed
aka ‘Mb Dogg’ kuingia katika tasnia ya filamu.
Filamu hiyo ambayo Mb Dogg amacheza kama mhusika mkuu imetayarishwa na Dr. Cool Production company.
“Uwezo alionyesha Mb Dogg ni wa hali ya juu sana, utafikiri alikuwepo katika tasnia ya uigizaji kwa miaka mingi , msanii amebeba uhusika kulingana na hadithi yenyewe nasema ni msanii anayejua kuigiza na hilo mtalismtalishuhudia katika filamu hiyo,” said Mzee Korongo.
Filamu hiyo ambayo Mb Dogg amacheza kama mhusika mkuu imetayarishwa na Dr. Cool Production company.
“Uwezo alionyesha Mb Dogg ni wa hali ya juu sana, utafikiri alikuwepo katika tasnia ya uigizaji kwa miaka mingi , msanii amebeba uhusika kulingana na hadithi yenyewe nasema ni msanii anayejua kuigiza na hilo mtalismtalishuhudia katika filamu hiyo,” said Mzee Korongo.
NYUMBA MPYA YA CEO WA CASH MONEY
Ronald
Williams Aka Slim ambaye ndio C.E.O Wa Cash Money ndiye amenunua nyumba
ya thamani ya Dollar zaki Marekani Milliom $ 7.15. Ni Nyumba yenye
vyumba 9 vya kulala ,Mabafu 12.
Unuunnuzi wa nyumba hii umekuwa wa siri sana kitu ambacho ni tafauti na wasanii wa kundi hilio la Cash Money huwa wanapenda kutangaza mambo yao yote ya thamani. Ronald ni kaka wa Bryan 'Birdman' Williams na ni mmoja wa wadau matajiri sana kwenye mziki Marekani mwenye Thamani ya Dollar za Kimarekani Million $100
Unuunnuzi wa nyumba hii umekuwa wa siri sana kitu ambacho ni tafauti na wasanii wa kundi hilio la Cash Money huwa wanapenda kutangaza mambo yao yote ya thamani. Ronald ni kaka wa Bryan 'Birdman' Williams na ni mmoja wa wadau matajiri sana kwenye mziki Marekani mwenye Thamani ya Dollar za Kimarekani Million $100
Subscribe to:
Posts (Atom)









