Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 23 August 2012

NYUMBA MPYA YA CEO WA CASH MONEY

Ronald Williams Aka Slim ambaye ndio C.E.O Wa Cash Money ndiye amenunua nyumba ya thamani ya Dollar zaki Marekani Milliom $ 7.15. Ni Nyumba yenye vyumba 9 vya kulala ,Mabafu 12. 
Unuunnuzi wa nyumba hii umekuwa wa siri sana kitu ambacho ni tafauti na wasanii wa kundi hilio la Cash Money huwa wanapenda kutangaza mambo yao yote ya thamani. Ronald ni kaka wa Bryan 'Birdman' Williams na ni mmoja wa wadau matajiri sana kwenye mziki Marekani mwenye Thamani ya Dollar za Kimarekani Million $100



No comments:

Post a Comment