Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Monday, 20 August 2012

ALBUM YA ROSE MUHANDO CHINI YA SONY MUSIC OUT SOON

 
Kampuni ya Sony Music Group kupitia label iliyo chini yake ya ROCKSTAR4000 imesema albam mpya ya Rose Muhando ipo kwenye utayarishaji wa mwisho mwisho ili iweze kutoka.

“In studio finishing album & music videos of 1 of Africa's biggest selling artists, Rose Muhando. Asante Sana! @SevenMos @SonyMusicAfrica,” ROCKSTAR4000 imeandika kupitiwa Twitter jumapili hii.

Hata hivyo haijasema albam hiyo inafanyika wapi japo wasanii wengi wa Sony Music Africa hurekodi nyimbo zao nchini Afrika Kusini.

Mwaka jana Rose Muhando alisaini mkataba wa kihistoria wa kurekodi albam tano na Sony Music Entertainment chini ya uongozi wa ROCKSTAR4000.

Sunday, 19 August 2012

RAPPER KEKO KUFANYA KAZI NA MWANAFA PAMOJA NA FID Q




We all know rapper  wa kike kutoka nchini Uganda Keko yuko jijini Mwanza Eid hii atakapokuwa akiwasha moto ndani ya hoteli ya Star Max.

Singer wa "Make You Dance"  ambaye hii ni mara yake ya kwanza kukanyaga ardhi ya Taznania amesema pamoja na kuja Mwanza tayari yupo kwenye mazungumzo na MwanaFA kwa ajili ya kufanya ngoma pamoja. ‘I am big fan of Mwana FA we are actually working out something as we speak . I am looking forward and hopefully bumping to Fid Q when I am in Mwanza, ” amesema.

Ameongeza kuwa kama kuna promoter yeyote wa Dar es Salaam ambaye angependa kufanya show naye nafasi ipo wazi.

Friday, 17 August 2012

MAUNDA ZORRO AIBUKIA KWENYE MOVIE




Baada ya Maunda Zorro kuwa nje ya game yake kwa muda wa takribani miaka minne now she's back but round hii kwenye movie scene.
Kwa mujibu wa Maunda Zoro ni kwamba ukimya wake ulitokana na kuwa bussy location akiigiza movie inayptarajiwa kutoka hivi sasa kwa jina la  "
Room Number 13" chini ya kampuni ya ZG iliyopo Zanzibar ambayo ndani yake amecheza kama ghost.
Does that means anaacha mziki, "No siwezi kuacha mziki.Pamoja na kuwa kwangu kimya nilikuwa na-record ngoma ambazo management yake ilikuwa ikizizuia kuzitoa na hadi leo sijui inakuweje"-Maunda.