Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Friday 17 August 2012

MAUNDA ZORRO AIBUKIA KWENYE MOVIE




Baada ya Maunda Zorro kuwa nje ya game yake kwa muda wa takribani miaka minne now she's back but round hii kwenye movie scene.
Kwa mujibu wa Maunda Zoro ni kwamba ukimya wake ulitokana na kuwa bussy location akiigiza movie inayptarajiwa kutoka hivi sasa kwa jina la  "
Room Number 13" chini ya kampuni ya ZG iliyopo Zanzibar ambayo ndani yake amecheza kama ghost.
Does that means anaacha mziki, "No siwezi kuacha mziki.Pamoja na kuwa kwangu kimya nilikuwa na-record ngoma ambazo management yake ilikuwa ikizizuia kuzitoa na hadi leo sijui inakuweje"-Maunda.

No comments:

Post a Comment