Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Sunday, 19 August 2012

RAPPER KEKO KUFANYA KAZI NA MWANAFA PAMOJA NA FID Q




We all know rapper  wa kike kutoka nchini Uganda Keko yuko jijini Mwanza Eid hii atakapokuwa akiwasha moto ndani ya hoteli ya Star Max.

Singer wa "Make You Dance"  ambaye hii ni mara yake ya kwanza kukanyaga ardhi ya Taznania amesema pamoja na kuja Mwanza tayari yupo kwenye mazungumzo na MwanaFA kwa ajili ya kufanya ngoma pamoja. ‘I am big fan of Mwana FA we are actually working out something as we speak . I am looking forward and hopefully bumping to Fid Q when I am in Mwanza, ” amesema.

Ameongeza kuwa kama kuna promoter yeyote wa Dar es Salaam ambaye angependa kufanya show naye nafasi ipo wazi.

Friday, 17 August 2012

MAUNDA ZORRO AIBUKIA KWENYE MOVIE




Baada ya Maunda Zorro kuwa nje ya game yake kwa muda wa takribani miaka minne now she's back but round hii kwenye movie scene.
Kwa mujibu wa Maunda Zoro ni kwamba ukimya wake ulitokana na kuwa bussy location akiigiza movie inayptarajiwa kutoka hivi sasa kwa jina la  "
Room Number 13" chini ya kampuni ya ZG iliyopo Zanzibar ambayo ndani yake amecheza kama ghost.
Does that means anaacha mziki, "No siwezi kuacha mziki.Pamoja na kuwa kwangu kimya nilikuwa na-record ngoma ambazo management yake ilikuwa ikizizuia kuzitoa na hadi leo sijui inakuweje"-Maunda.

GELLY WA RHYMES'S NEW TRACK - MARRY ME