Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday, 15 August 2013

REDD'S MISS ILALA NI IJUMAA HII

Shindano la kumsaka mlimbwende wa Ilala litafanyika siku ya ijumaa tarehe 16/08/03 kuanzia saa 2 za usiku katika ukumbi Mpya na wa kisasa katika jengo la GOLDEN TOWER
Katika kuelekea kilele cha shindano hilo jana usiku kulifanyika shindano la vipaji katika ukumbi wa city sport longe ambapo wasichana watano kati ya 10 walioshiriki shindano hilo walifanikiwa kutinga  fainali ambapo fainali hzo zitaendana na sambamba na kumpata Redd;s Miss Ilala 2013.
Cheki picha mbali mbali za tukio hilo.









JAY Z NA DIDDY WAMCHEKA KENDRICK LAMAR

Fasta baada ya kujitangazia Ufalme wa jiji la New York, The hot Hip Hop star Kendrick Lamar amepata majibu. Majibu yanatoka kwa legends ya game ya Hip Hop duniani, Jay Z na Sean Comb 'Diddy' kwa kusema kuwa dogo huyu ana utani sana! Kwa upande mwingine Jay na Diddy wameichukulia kauli hii kama kutafuta kiki tu ya kimuziki! 


Friday, 9 August 2013

MAJERUHI WA TINDIKALI ZANZIBAR HAWA HAPA

RAISI AWAFARIJI MAJERUHI AGA KHAN HOSPITAL
                       Kabla ya Tukio

                            Baada ya kumwagiwa Kitu kinacho zaniwa ni                 maji maji ya tindi kali                     
    Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dr J.M.Kikwete
   akitoka Hospita AGA KHAN kuwajulia hali    

Friday, 26 July 2013

BUSTA RHYMES KUPAFOM KENYA

Sasa rasmi kuwa busta Rhymes a.k.a Trevor Taheim Smith Jr atatua Kenya kwa ajili ya kazi moja tu, nayo ni kuwarusha maraia wote wa 254. Hiyo itakuwa mwezi September, 2013. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Busta kuja Kenya na anatarajiwa kupagawawisha crowd litakalotokea kwa ngoma zake zilizotamba kama 'Twerk It' na Nicki Minaj, 'I Got What You Want' na Mariah Carrey, 'Look at Me Now' akiwa na Chris Brown, 'Touch It with the whole world' na ngoma nyingine lukuki!




Thursday, 25 July 2013

GENEVIVIE ANA MIAKA 10 HAJA-DO!

Hii imechukuliwa kama gia ama kick ya kumlegeza bwana wake ili aharakishe ndoa yao kwa mwanamama mahiri katika tasnia ya uguzaji, Genevivie Nnaji kusema kuutangazia umma kuwa, ana miaka kumi toka alipofanya ngono kwa mara mwisho. 



Hivi ndivyo Nnaji anavyofunguka,

      "Nimekuwa single na mpweke kwa muda mrefu.                         Hata nilipokuwa na D'banj, mahusiano yetu                               yalikuwa ya muda mfupi sana kinyume na matarajio                 yangu. Namshukuru Mungu sasahivi nimempata                       mwanaume ambaye nitamaliza naye maisha yangu yote"