Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday, 18 July 2013

DIAMOND ASHIKA NAMBA MOJA AFRIKA MASHARIKI!

Kubali au kataa, mpende au mchukie lakini ukweli utabaki palepale kuwa kwasasa msanii toka Tanzania, Diamond Platnumz a.k.a Naseeb Abdul ndio mwenye nguvu kubwa zaidi katika majukwaa yote ya Afrika Mashariki.



Kwa mujibu wa website moja huko Kenya anayemfuata kwa ni nguli Dk. Jose Chameleone ambaye kwa kipindi kirefu sana ameweza kukusanya raia wengi popote pale anapopiga show hasa East Africa. Achana na Chameleone, Diamond hivi sasa ameonekana kung'arisha zaidi huku makampuni makubwa hasa ya Kitanzania kila leo yakibisha hodi nyumbani kwa Diamond ili kuingia naye mikataba (endorsements).

Moja kati ya vipimo sahihi vya Diamond kuwa juu kwasasa ni ile show ya Congo iliyosababisha foleni ambayo haijawahi tokea huko Congo kutokana na umati uliopitiliza kumwagika barabarani! Pia kuna hii tour ya Burundi. Nyomi la hatari lilimwagika kupita mategeo ya waandaaji.



MISS KERI AMUOMBA MSAMAHA BEYONCE

Kutoka kwa producer mkali huko USA, Timberland, amesema kuwa 'Energy' hitmaker, Miss Keri yupo studio akitengeza ngoma kali iitwayo'Sorry' mahsusi kwaajili ya kumuomba radhi King Bey. Timberland amebreak the news kuwa kutokana na kutapakaa uvumi kuwa Miss Keri alimdiss Jay Z's wify basi sasa huu ni wakati muafaka wa kuanika kila kitu hadharani ili fans wa Keri na Bey wafahamu nini hasa kilitokea na yote hayo Keri ameelezea katika ngoma hiyo mpya ya 'Sorry'.

Just stay tuned kwasababu ngoma hii utaipata hapahapa!



Saturday, 6 July 2013

FEZA KESSY AMWAGA MITUSI KWA KISWAHILI MJENGONI

Mshiriki wa Tanzania katika jumba la big brother amejitengenezea mazingira ya kutoka mapema kwenye game baada ya kuanza kuonyesha tabia yake halisi kama ni mgomvi na anaetumia lugha chafu bila ya aibu.
ikiwa mida hii party inaendelea kulikua na  sitofahamu ya Oneal na Feza wakizozana huku Feza akimtuhumu Oneal ukaribu wak na Pokello kitu kinacho mpa mashaka kwani Feza na Oneal ni wapenzi ndani ya mjengo huo sasa ule wasi wasi wa Mapenzi umemuingia Feza.
Baada ya Feza kuingia kweny paty alienda moja kwa moja kwa mwakilishi wa Kenya Annabel na kumwambia kwamba Pokelo ni Mngese na lile tusi jingine  Kuuuu  m*****k***Feza alitamka matusi hayo katika lugha ya Kiswahili nazani alitaka Pokelo asielewe hayo Matusi.
je Feza hapo anajiweka katika nafasi gani ndani ya jumba hilo

      Feza
                             Pokello
    Feza & Oneal

  Feza & Oneal  siku ya harusi ndani ya Mjengo wa BBA

Wednesday, 3 July 2013

NANDO KUTIMULIWA BBA

Mwakilishi wa Tanzania Nando  katika jumba la Big brother huenda akatimuliwa.
kwa mujibu wa big ambae alimuita Nando kumpa habari hyo, na kisa chenyewe ni Nando baada ya kuingia na Kisu katika party ambayo big huwaandalia kila siku ya jumamosi.
Big alimuita Nando katika Diary room nakumuonyesha clps ya video ambayo ilionyesha Nando ameshika kisu na alipo ulizwa ni kwa nini alikua na kisu wakati ni hatari kwa usalama wake na washiriki wenzake Nando alijibu alijisahau alipo maliza shughuli ya kutumia kisu kukiacha na badala yake alikiweka mfukoni lakini hakua na nia ya kumzuru mtu Big alimwambia akawaeleze washiriki wenzake kwa nini aliingia na kisu na alifanya hivyo kwa kuwaeleza ni kawaida yake hata akiwa nyumbani anapenda kucheza na kisu na hapo alijisahau lakini hakuwa na nia ya kumzuru mtu na akaomba msamaha 
lakini washakunaku kwenye jumba hilo wanaona ni kama wivu wa mapenzi ulimpata baada yeye na Sulu wote wakiwa wanachezewa akili na binti mtata Selly Big amempa onyo la Mwisho Nando na akifanya kosa jingine atafukuzwa kwenye jumba hilo.

 Nando
  Fatima ,Nando na IK