Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday 18 July 2013

MISS KERI AMUOMBA MSAMAHA BEYONCE

Kutoka kwa producer mkali huko USA, Timberland, amesema kuwa 'Energy' hitmaker, Miss Keri yupo studio akitengeza ngoma kali iitwayo'Sorry' mahsusi kwaajili ya kumuomba radhi King Bey. Timberland amebreak the news kuwa kutokana na kutapakaa uvumi kuwa Miss Keri alimdiss Jay Z's wify basi sasa huu ni wakati muafaka wa kuanika kila kitu hadharani ili fans wa Keri na Bey wafahamu nini hasa kilitokea na yote hayo Keri ameelezea katika ngoma hiyo mpya ya 'Sorry'.

Just stay tuned kwasababu ngoma hii utaipata hapahapa!



No comments:

Post a Comment