Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday, 18 July 2013

MISS KERI AMUOMBA MSAMAHA BEYONCE

Kutoka kwa producer mkali huko USA, Timberland, amesema kuwa 'Energy' hitmaker, Miss Keri yupo studio akitengeza ngoma kali iitwayo'Sorry' mahsusi kwaajili ya kumuomba radhi King Bey. Timberland amebreak the news kuwa kutokana na kutapakaa uvumi kuwa Miss Keri alimdiss Jay Z's wify basi sasa huu ni wakati muafaka wa kuanika kila kitu hadharani ili fans wa Keri na Bey wafahamu nini hasa kilitokea na yote hayo Keri ameelezea katika ngoma hiyo mpya ya 'Sorry'.

Just stay tuned kwasababu ngoma hii utaipata hapahapa!



Saturday, 6 July 2013

FEZA KESSY AMWAGA MITUSI KWA KISWAHILI MJENGONI

Mshiriki wa Tanzania katika jumba la big brother amejitengenezea mazingira ya kutoka mapema kwenye game baada ya kuanza kuonyesha tabia yake halisi kama ni mgomvi na anaetumia lugha chafu bila ya aibu.
ikiwa mida hii party inaendelea kulikua na  sitofahamu ya Oneal na Feza wakizozana huku Feza akimtuhumu Oneal ukaribu wak na Pokello kitu kinacho mpa mashaka kwani Feza na Oneal ni wapenzi ndani ya mjengo huo sasa ule wasi wasi wa Mapenzi umemuingia Feza.
Baada ya Feza kuingia kweny paty alienda moja kwa moja kwa mwakilishi wa Kenya Annabel na kumwambia kwamba Pokelo ni Mngese na lile tusi jingine  Kuuuu  m*****k***Feza alitamka matusi hayo katika lugha ya Kiswahili nazani alitaka Pokelo asielewe hayo Matusi.
je Feza hapo anajiweka katika nafasi gani ndani ya jumba hilo

      Feza
                             Pokello
    Feza & Oneal

  Feza & Oneal  siku ya harusi ndani ya Mjengo wa BBA

Wednesday, 3 July 2013

NANDO KUTIMULIWA BBA

Mwakilishi wa Tanzania Nando  katika jumba la Big brother huenda akatimuliwa.
kwa mujibu wa big ambae alimuita Nando kumpa habari hyo, na kisa chenyewe ni Nando baada ya kuingia na Kisu katika party ambayo big huwaandalia kila siku ya jumamosi.
Big alimuita Nando katika Diary room nakumuonyesha clps ya video ambayo ilionyesha Nando ameshika kisu na alipo ulizwa ni kwa nini alikua na kisu wakati ni hatari kwa usalama wake na washiriki wenzake Nando alijibu alijisahau alipo maliza shughuli ya kutumia kisu kukiacha na badala yake alikiweka mfukoni lakini hakua na nia ya kumzuru mtu Big alimwambia akawaeleze washiriki wenzake kwa nini aliingia na kisu na alifanya hivyo kwa kuwaeleza ni kawaida yake hata akiwa nyumbani anapenda kucheza na kisu na hapo alijisahau lakini hakuwa na nia ya kumzuru mtu na akaomba msamaha 
lakini washakunaku kwenye jumba hilo wanaona ni kama wivu wa mapenzi ulimpata baada yeye na Sulu wote wakiwa wanachezewa akili na binti mtata Selly Big amempa onyo la Mwisho Nando na akifanya kosa jingine atafukuzwa kwenye jumba hilo.

 Nando
  Fatima ,Nando na IK

Tuesday, 2 July 2013

CHRIS BROWN, RIHANNA NA DRAKE WATAKATA BET AWARDS 2013

Juzi Jumapili ilifanyika ile show the best kwa watu weusi huko United States of America maarufu kama BET awards. Awards hizi kwa 2013 zilitolewa katika ukumbi wa Nokia Theatre, Los Angeles na baadhi ya wasanii waliofanya vizuri ni pamoja na Chriss Brown, Rihanna, Drake na wengine kibao. 
Nick Minaj
Ice Prince
Kwa Africa, rapper Ice Prince toka Nigeria aliwagalagaza big names kama 2face Idibia, Toya Delazy (South Africa), Donald (South Africa), R2Bees (Ghana), Weasal na Radio (Uganda). List nzima ya washindi na tuzo walizokamata ni kama ifuatavyo;-


Best Female R&B/Pop Artist: Rihanna

Best Male R&B/Pop Artist: Chris Brown

Best Group: Macklemore and Ryan Lewis

Best Collaboration: A$AP Rocky (featuring Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar) – F***in’ Problems

Best Male Hip Hop Artist: Kendrick Lamar

Best Female Hip Hop Artist: Nicki Minaj

Video Of The Year: Drake – Started From the Bottom

Video Director of the Year: Benny Boom

Best New Artist: Kendrick Lamar

Best Gospel Artist: Mary Mary

Best Actress: Kerry Washington

Best Actor: Jamie Foxx

YoungStars Award: Gabrielle Douglas

Best Movie: Think Like a Man

Subway Sportswoman of the Year: Gabrielle Douglas

Subway Sportsman of the Year: LeBron James

Coca-Cola Viewers’ Choice Award: Drake – Started From the Bottom

Centric Award: Tamar Braxton – Love and War

Best International Act: Africa  – Ice Prince (Nigeria)

Humanitarian Award: Dwyane Wade

Lifetime Achievement Award: Charlie Wilson

FANdemonium Award: Chris Brown