Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday, 26 June 2013

FEZA KESSY ASHIKWA PABAYA




Kwa wale wafuatiliaji wa Big Brother Afrika A.K.A BBA wanaweza kukumbuka siku Feza alipo ingia mjengoni alisema yeye hataingia kwenye mahusiano na wanaume, katika kipindi atakach kuwa Mjengoni lakini kadri siku zinavyo kwenda mambo ni tofauti kabisa na ahadi aliyo toa hapo Mwanzo.

Kwa sasa mwakilishi huyo wa Tanzania Mapenzi MOTO MOTO yamemshika kwa kijana wa Botswan ONeal ambae ni mtangazaji wa Radio na Tv huko Botswana maana kadri siku zinavyo kwenda mapenzi moto moto yanaongezeka mambo ya madenda ma hugs kwa kwenda mbele kana kwamba hayo hayatoshi na sasa ndio wanaanguka pamoja kwa Bed

Swali ni kwamba siku na wenyewe  wakipata nafsi ya ku spend pamoja kwenye private room ua BIG nao watavunja Amri ya sita ? kwani tulimshuhudia Bety wa Ethopia akiwa mshiriki wa kwanza ndani ya Mjengo akila raha na BOLT kutoka SIERRA LEON na baadae alifuata Mtanzania Mmarekani Nando alivyo kua akiomba mambo kwa Selly kutoka GHANA walipo kua kwenye chumba hicho maalumu cha BIG na hatimaye SELLy alikonga moyo wa NANDo kwa kumpa mambo

       Feza Kessy

Monday, 24 June 2013

OMMY DIMPOZ ASHAMBULIWA, AOMBA RADHI DODOMA!

Unaikumbuka ile kauli aliyoitoa Ommy Dimpoz iliyoonekana moja kwa moja inamkashifu Surname wa Freestyle Tanzania, hayati Mangwea? Kama ndio basi ile kauli imesababisha msanii huyu matata mwenye mbwembwe kibao kuambulia kichapo na kuzomewa alipopanda jukwaani huko katika mji mkuu wa Tz, Dodoma (katika tour ya Kili Music Awards) ambako ndio makazi rasmi ya Ngwea kimuziki yaani East Zoo!

Baada ya kichapo hicho Ommy kupitia akaunti ya Twitter aliomba radhi kwa kauli yake kwa Ngwea;-


EXCLUSSIVE: KERI HILSON ACHUMBIWA!

 Keri Hilson amekuwa mchumba halali wa mcheza kikapu wa timu ya   Oklahoma City Thunder, Serge Ibaka. Pete hiyo ilikuwa ni ya bibi yake Serge Ibaka and it is not that much cheap vile ili-consume millions of dollars though not mentioned by Serge Ibaka. Well CONGRATS GUYS!!!


Sunday, 23 June 2013

JAY Z ATOA ALBUM KWA KUSHIRIKIANA NA SAMSUNG!

Katika kuhakikisha kila raia anaifahamu na itakapotoka ainunue albam yake itakayouzwa kwa jina la “Magna Carta Holy Grail”, Jay Z a.k.a Hovva alichukua time ya kutosha katika break ya mechi ya  fainali ya kikapu ya NBA game 5 kuitangaza. 


Kwa kushirikiana na Samsung watuamiaji milioni 1 wa Samsung Galaxy 4 watapata album hii bure yenye jumla ya mgoma 13, na hii ndio list kamili ya ngoma hizo:-
1. Picasso Baby
2. Heaven
3. Versus
4. Tom Ford
5. Beach Is Better
6. FuckWithMeYouKnowIGotIt
7. Oceans
8. F.U.T.W.
9. Part II (On The Run)
10. BBC
11. La Familia
12. Jay-Z Blue
13. Nickles & Dimes


Kwa mashabiki wasiotumia simu za Samsung wataipokea album hii July 7. Hakuna artiste yeyote aliyetajwa kama collaborator na hilo ndilo limeshangaza raia wengi na swali limebaki je, ngoma zote hizi Jay Z kazifanya pekeyake?

KIM KARDASHIAN AFURAHIA KUMNYONYESHA MTOTO WAKE.

Kim Kardashian AFURAHIA KUMNYONYESHA NORTH WEST

Mwana dada Kim au Mbabs wa Kanye west anasema anafurahia zaidi anavyo mnyonyosha mtoto wake North West hadharani na hii ni tofauti kabisa na kile alicho kisema hapo nyuma katika mwaka wa 2010 kuwa hakufurahishwa na mama mmoja aliyekua akimnyonyesha mwanae Restaurant na kumbadilisha nepi chafu. lakini kwa sasa Kim huyo huyo alikua akipinga  ndio anafanya maswala ya kunyonyesha hadharani kwa ukamilifu.