Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday, 21 May 2013

D' BANJ APIGA SHOW NA VIATU TOFAUTI!

The koko master himself D’banj ametokelezea na kituko cha kipeke yake on stage. This time arround, D' Banj alipanda na ku-perfom katika stage ya MTV All Stars concert huko Durban, South Africa akiwa na raba (sneakers) mbili tofauti miguuni mwake. Moja ikiwa ni nyeupe na nyingine ni nyeusi lakini zote ni aina ya Guiseppe Zanotti.

Hata hapa Bongo kamchezo haka kalishawahi fanywa na rapa controversial Ney wa Mitego kwa kutupia viatu tofauti katika videos kadhaa na katika shows mbalimbali pia.
D’banj
 

PROFFESOR JAY AJIUNGA NA CHADEMA.

Mambo sasa yamebadilika. Msanii nguli wa Hip-hop na bongo flava  Joseph Haule a.k.a Proffesor Jay, leo hii amejiunga rasmi na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA na tayari amekabidhiwa kadi yake ya uanachama. Swali linalobaki vichwani mwa watu na mashabiki wa muziki Tanzania ni kuwa Je, Prof. Jay atagombea ubunge kupitia chama hicho kama ilivyokuwa kwa swahiba wake walioanza nae muziki kitambo hicho, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu?

Prof. Jay anaongeza idadi ya wanamuziki walioamua kuingia rasmi katika siasa akitanguliwa na wasanii kama Kalapina (CUF), Mwana-FA (CCM), Sugu (Mb. Mbeya-CHADEMA)


Prof. Jay na Sugu

 
 
 

Monday, 20 May 2013

JCB AFUNGA PINGU ZA MAISHA NA MZUNGU!

Mwanahip-hop toka A-Town, 'Ukiskia paah' hitmaker single, JCB ameachana na ukapera this week-end kwa kufunga ndoa. Na hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo iliyofanyika Arusha Jumamosi hii!



 

SIKILIZA HOTUBA YA SUGU ILIYOSABABISHA BUNGE KUHAIRISHWA LEO HII!