Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Tuesday 21 May 2013

PROFFESOR JAY AJIUNGA NA CHADEMA.

Mambo sasa yamebadilika. Msanii nguli wa Hip-hop na bongo flava  Joseph Haule a.k.a Proffesor Jay, leo hii amejiunga rasmi na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA na tayari amekabidhiwa kadi yake ya uanachama. Swali linalobaki vichwani mwa watu na mashabiki wa muziki Tanzania ni kuwa Je, Prof. Jay atagombea ubunge kupitia chama hicho kama ilivyokuwa kwa swahiba wake walioanza nae muziki kitambo hicho, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu?

Prof. Jay anaongeza idadi ya wanamuziki walioamua kuingia rasmi katika siasa akitanguliwa na wasanii kama Kalapina (CUF), Mwana-FA (CCM), Sugu (Mb. Mbeya-CHADEMA)


Prof. Jay na Sugu

 
 
 

No comments:

Post a Comment