Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Thursday, 23 August 2012

EXCLUSIVE: K LYNN IS PREGIOUS

Mama kijacho


List ya baby boom kwenye Miss Tanzania inataongeza siku si nyingi.
Baada ya Hoyce Temu, Nagris Mohammed, Miriam Gerald, Silvia Shally na Nancy Sumari ambao waliwahi kuwa mamiss Tezee kumuongezea Uncle Lundenga cheo cha U-uncle baada ya kujaliwa watoto,  latest news ni kwamba Jacquline Ntuyabaliwe better known as K Lynn naye yuko mbioni kuongeza mjomba mwingine coz she's now eating for two.



Habari za uhakiaka zinadai kuwa jamaa mwenye makampuni MEEENGI hapa nchini ndiye aliefanikisha zoezi hilo.

P SQUARE NEW AUDIO - ALINGO

MB DOGG KWENYE MOVIE


Filamu kali na ya kusisimua ya Nankonda wa Mikindani inayotarajia kuingia sokoni hivi karibuni ndio itakayokuwa filamu ya kwanza kumtambulisha msanii wa  Bongo fleva  kwa jina la Mbwana Mohamed  aka ‘Mb Dogg’ kuingia katika tasnia ya filamu.
Filamu hiyo ambayo Mb Dogg amacheza kama mhusika mkuu imetayarishwa na Dr. Cool Production company.
 “Uwezo alionyesha Mb Dogg ni wa hali ya juu sana, utafikiri alikuwepo katika tasnia ya uigizaji kwa miaka mingi , msanii amebeba uhusika kulingana na hadithi yenyewe nasema ni msanii anayejua kuigiza na hilo mtalismtalishuhudia katika filamu hiyo,” said Mzee Korongo.

NYUMBA MPYA YA CEO WA CASH MONEY

Ronald Williams Aka Slim ambaye ndio C.E.O Wa Cash Money ndiye amenunua nyumba ya thamani ya Dollar zaki Marekani Milliom $ 7.15. Ni Nyumba yenye vyumba 9 vya kulala ,Mabafu 12. 
Unuunnuzi wa nyumba hii umekuwa wa siri sana kitu ambacho ni tafauti na wasanii wa kundi hilio la Cash Money huwa wanapenda kutangaza mambo yao yote ya thamani. Ronald ni kaka wa Bryan 'Birdman' Williams na ni mmoja wa wadau matajiri sana kwenye mziki Marekani mwenye Thamani ya Dollar za Kimarekani Million $100



CHECK THIS OUT...IS KANYE A BODYGUARD TO KIM?