Tanzania top model audition

Tanzania top model audition
Tanzania top model audition

Wednesday, 8 August 2012

NYUUMBANI LOUNGE YAFUNGWA KWA MATENGENEZO ITAFUNGULIWA BAADA YA RAMADHANI

Hivi ndivyo ukarabati unaendelea
Big boss Gadnar ( alietia mkono mfukoni) akimwelekeza fundi cha kufanya
Marekebisho yakiendelea

PAMOJA NA UJANJA WOTE..KWELI DIAMOND HAJUI KUOGELEA

Jembe akijiandaa kujaribu kuogelea

MweeehKK
Sio kwenye mike tu hata huku kwahitaji m
Diamond akipigwa tizii
Nakufaaaaa....

MMMHHHH...GOT NO COMMENT

Hey picha hzi zinamaanisha nini?Lema kafanyeje?



SHABIKIWA PREZZO AIMWAGIA BIG BROO MATUSI

Sylvanus Joseph (shabiki wa Prezzo) ameamua kuipeleka hasira yake dhidi ya ushindi wa Keagan kwenye shindano la BBA Stargmame kwenye level nyingine na kumwaga matusi ya nguoni kwa haters wote wa Prezzo.

“YOU ASS HATERS OF PREZZO GO AND FUCK YOU KEAGAN ACCENT, AND REMEMBER THAT PREZOO IS MORE THAN OF YOUR BOY IN EVERYTHING FROM , MONEY, POPULARITY, TALENT AND EVEN KNOWLEDGE. SA SHOULD THANKS GOD FOR THAT COMPANSATION FROM BIOLA FOR 7YRS LOSS, JUST EVEN WITH A NARROW MIND DO YOU THINK KEAGAN WAS EVEN BETTER THAN LADYMAY/ YOU STUPID PORNSTARS BE KEEN.

PREZZO WILL STILL DO HIS MUSIC AND OWN HIS MINING COMPANIES, MAKINI SCHOOLS, HOUSES AND EVEN THOSE MAKINI HERBALS. OFCOURSE HE IS RICH ENOUGH AND AS HE TOLD YOU THAT HE DOn't CARE FOR 300K USD. HE WANTED TO TELL YOU THAT HE IS THE BOSS AND KENYA IS REAL PLACE TO BE. SHAME ON YOU GUYS WHO ARE THE HATERS.

NONINI AHAMIA KWENYE UTANGAZAJI WA REDIO


Habari ni kwamba Kenyan Rapper/Singer amechukua nafasi ya Tina Kaggia katika kipindi cha asubuhi, yaani 'Breakfast Show' katika kituo cha radio cha 1FM. Nonini sasa atatangaza kipindi hicho na Marcus Olang' ambapo Tina Kaggia amehamia katika kipindi kingine katika radio hiyo.
       Wengine wanaweza kudhani Nonini ni mpya katika utangazaji wa Radio lakini aliwahi kufanya kazi kama Celebrity Radio Presenter katika kituo cha Radio cha YFM, ambayo kwa sasa inafahamika kama HOT 96.
       Nonini ni msanii aliyeshinda tuzo nyingi toka atoke kimuziki mwaka 2000 kutoka studio za Calif (Calif Records). Nonini ni mmoja wa wasanii waliotunga aina ya muziki wa Genge na sasa hivi anatambulika na Jamii ya Haki Miliki ya Muziki nchini Kenya.